Acheni 'Double Standards' utampelekaje Fatma Nyangasa Morogoro badala ya 'Kumpromoti' Albert Msando ambaye kafanya Makubwa huko?

Unakaa mtu mzima na akili zako eti unajadili mkuu wa wilaya au mkoa kafanya maendeleo gani. Mtu asiye na bajeti yoyote ya kuisimamia anafanya nini zaidi ya kuimba mapambio na kusaidi chama kuiba uchaguzi? Hopeless
cjui watakuelewa????!!!!!????
 
Hakuna anaefaa Kati yao,wote ni magalasa.
 
Naona katika hasara tuliyopata ni wana kisarawe.kwa jojo kuondoka alianza kuipaisha kisarawe bas tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…