Acheni hizo bana

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Wadada wa mjini unampa lift anakaa siti ya mbele anafunga na mkanda dereva unajiuliza dah huyu dada anajua sheria za barabarani, kumbe anataka
kujipiga selfie akapost instagram tena utakuta anajipiga selfie kama ishirini kwa pozi tofauti tofauti.
 
Umemwambia mhusika, au umeona uje utupe jiwe gizani...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......[emoji126]
 
Mm gari yangu kuna dada aliazima halafu nasikia wakaenda kugeuza guest, iliniuma sana sana nilipoona ushahidi wa picha kwa sababu nilikuwa namtongoza halafu anazingua.
 
Mimi cku hizi cwapi lifti maana nilikuta gari yangu insta mmpaka nikaishiwa pozi
Ndioooo maana nikaona dada mmoja katupia picha fb, whatsapp profile, na insta kakini kila nikicheki zile picha naona "kagangalagata" kumbe huyu mdada atakuwa alijipiga selfie wakati ameniomba lift kwenda Mwanza!
 
Mm gari yangu kuna dada aliazima halafu nasikia wakaenda kugeuza guest, iliniuma sana sana nilipoona ushahidi wa picha kwa sababu nilikuwa namtongoza halafu anazingua.
Pole sana mkuu... Vipi ulifanikiwa kumkamua nawewe? Au alikutosa mazima?
 
Ndioooo maana nikaona dada mmoja katupia picha fb, whatsapp profile, na insta kakini kila nikicheki zile picha naona "kagangalagata" kumbe huyu mdada atakuwa alijipiga selfie wakati ameniomba lift kwenda Mwanza!
Umeniacha kwenye hilo neno
 
Ndioooo maana nikaona dada mmoja katupia picha fb, whatsapp profile, na insta kakini kila nikicheki zile picha naona "kagangalagata" kumbe huyu mdada atakuwa alijipiga selfie wakati ameniomba lift kwenda Mwanza!
Labda sio gari yako...... vits/passo utajuaje hii yangu kwa kuangalia selfie ndani ya gari au selfie wanapiga kwenye number plate?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…