Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Wapi huko wanagawa bure niendeIla Samsung baba Lao! IPhone tuwaachie wanawake kwasababu wanazipata bure!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko wanagawa bure niendeIla Samsung baba Lao! IPhone tuwaachie wanawake kwasababu wanazipata bure!
Ahaaa kumbe aisee bei zake zina range vip???Kama myu wa picha unatakiwa kuchukua matoleo ya Redmi Note ila kama mtu wa magame na matumizi ya kubwa ya simu chukuq matoleo ya Redmi K.
Poa mamiloo inakuaje?Wewe mamboo
MBayaPoa mamiloo inakuaje?
Kwanini?MBaya
Sina kampaniKwanini?
Kweli au unataka tu kunitumia uniache?Sina kampani
Kusema ukweli sijaziona muda mudakani mara ya mwisho niliona Redmi Note zinarange 400,000 mpaka 1M. Mara nyingi zinapatikana Kenya nahisi maduka yanayopatikana mikoa inayopakan na Kenya lazima zitakuwepo.Ahaaa kumbe aisee bei zake zina range vip???
Note 10 mkuuUnatumia redmi toleo lipi
Niliulizia redmi songea sikuipata aiseee na hawaijuui
Kwan si simu mkuuUnakuta zee zima linatumia itel
Namna hiyo!Kama myu wa picha unatakiwa kuchukua matoleo ya Redmi Note ila kama mtu wa magame na matumizi ya kubwa ya simu chukuq matoleo ya Redmi K.
Radi kiaje yan pin point your pointSimu zina madaraja yake na ndio maana katika soka Mbappe anacheza Ulaya na Mzize anacheza Bongo...tukinunua TECNO tutakuwa na roho mbaya,hizo simu ni za waimba kwaya,umoja wa vikoba wa akina mama,waha na wamasai.
Kwanza ninunue TECNO nikipigwa na radi je
Aaaah! Wee huna iPhone? Njo pm tuyajenge ntadunduliza mishahara miwili nikununulie angalau iPhone 12sWapi huko wanagawa bure niende
Sina nitaipata wapi fukara wa jfAaaah! Wee huna iPhone? Njo pm tuyajenge ntadunduliza mishahara miwili nikununulie angalau iPhone 12s
Natumia note 13 pro... Ina specification za Samsung note 20 Ultra pro halafu inauzwa 820k Tu.... Sasa nenda kaulize bei ya Samsung note 20 ultra utaambiwa 1.4mil +Redm ni Simu na nusu buaana,🤗