Acheni kukejeli simu za watu!

Acheni kukejeli simu za watu!

Na sie wa Tecno wereva tucoment au tusubiri kwanza
 
Simu zina madaraja yake na ndio maana katika soka Mbappe anacheza Ulaya na Mzize anacheza Bongo...tukinunua TECNO tutakuwa na roho mbaya,hizo simu ni za waimba kwaya,umoja wa vikoba wa akina mama,waha na wamasai.
Kwanza ninunue TECNO nikipigwa na radi je
 
Simu zina madaraja yake na ndio maana katika soka Mbappe anacheza Ulaya na Mzize anacheza Bongo...tukinunua TECNO tutakuwa na roho mbaya,hizo simu ni za waimba kwaya,umoja wa vikoba wa akina mama,waha na wamasai.
Kwanza ninunue TECNO nikipigwa na radi je
Radi kiaje yan pin point your point
 
Back
Top Bottom