MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kumbe Marehemu Mrema akiwa Hai aliacha kabisa Maagizo kuwa Akifa asipelekwe Kuzikwa Kilimanjaro (Moshi) na badala yake azikwe hapa hapa Mkoani Dar es Salaam na kwamba Watakaolazimisha Kumsafirisha basi wajiandae Kuondoka nae rasmi Duniani (Kufa) kama ilivyotokea.
Najua wapo mtakaolibishia hili kwa kutaka tu Ligi (Ubishi) ila Binafsi nina Shuhuda zangu Tatu za mfano huu huu wa Marehemu Mrema na Wote waliolazimisha leo wamekuwa ni Historia (Wameshakufa) muda mfupi baada ya Mazishi ya Wapendwa Wao waliowalazimisha kuwapeleka Vijijini Kwao kwa Maziko.
Kuna Marehemu Mmoja aliacha Wosia kwa Wanae kuwa Akifa tu Nyumba yake isiuzwe na iwe ni Nyumba ya Wajukuu zake Kuishi na alivyokufanyia Watoto Wakaamua Kuiuza na kinachoendelea sasa huyo aliyeinunua Usiku Kucha Yeye na Wanafamilia wake hawapati Usingizi ila Kukikucha tu na muda wa kwenda Kuwajibika ndiyo Wanapata Usingizi hall iliyosababisha Wengine kufukuzwa Makazini kutokana na Kupungua kwa Ufanisi wao wa Kiutendaji.
Heshimuni mno Kauli za Marehemu.
Najua wapo mtakaolibishia hili kwa kutaka tu Ligi (Ubishi) ila Binafsi nina Shuhuda zangu Tatu za mfano huu huu wa Marehemu Mrema na Wote waliolazimisha leo wamekuwa ni Historia (Wameshakufa) muda mfupi baada ya Mazishi ya Wapendwa Wao waliowalazimisha kuwapeleka Vijijini Kwao kwa Maziko.
Kuna Marehemu Mmoja aliacha Wosia kwa Wanae kuwa Akifa tu Nyumba yake isiuzwe na iwe ni Nyumba ya Wajukuu zake Kuishi na alivyokufanyia Watoto Wakaamua Kuiuza na kinachoendelea sasa huyo aliyeinunua Usiku Kucha Yeye na Wanafamilia wake hawapati Usingizi ila Kukikucha tu na muda wa kwenda Kuwajibika ndiyo Wanapata Usingizi hall iliyosababisha Wengine kufukuzwa Makazini kutokana na Kupungua kwa Ufanisi wao wa Kiutendaji.
Heshimuni mno Kauli za Marehemu.