Acheni kulazimisha kumpeleka kumzika marehemu kule ambako alikataa alipokuwa hai

Acheni kulazimisha kumpeleka kumzika marehemu kule ambako alikataa alipokuwa hai

Acha porojo wewe. Hiyo ni coincidence tu ukishakufa huna influence yoyote tena kwa yatakayotokea duniani, influence yako itabaki kama ulifanya ya maana tu ila kama ulipuyanga unazidiwa hata na mti uliochomwa mkaa maana mkaa utapikia watu wale chakula.
Maneno yanaumba ndugu yangu ndiyo maana mtu kama baba akikulaani na kweli unalaanika. Hata kama amekufa maneno yanaendelea kutenda kazi.
 
Ile ajali ni bahati mbaya kama ajali nyingine na chanzo tayari kinajulikana ni uzembe wa dereva wa fuso ku overtake sehemu mbaya bila tahadhari.
Ila kwakuwa walikuwa wanasafirisha mwili wa marehemu unayoyasema kibongo bongo niliyatarajia kwa 100%!!.

Hiyo chai yako ningeinywa angalau chanzo cha ajali hakijulikani kwamba imetokea sehemu plain isiyo hatarishi kabisa...hakuna kugongana na gari yoyote wala gurudumu lolote lile kupasuka!.
 
Mbona wengi tu Kilimanjaro walishasema wakifa wazikwe sehemu flani lakini ndugu wakakataa wakawapeleka kuzikwa kwao na hakuna chochote kilichotokea tena maelfu na maelfu. Sasa ito mifano miwili tu. Iyo ni ajali kama ajali zingine na mwenye kosa dereva fuso.

Miafrika acheni mamboya kysenge
Nimeshuhudia moja ajali babati wakimtoa marehemu mwanza akauwa mdogo wake aliyemuachia maagizo
 
Nipo nyumaaa sana mrema nini kimetokea sielewi kitu huku kwetu musoma kwitare mtandao shida sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkanizike sehemu ambayo hata hawanikumbuki halafu muiache familia yangu mjini?Nani kasema hivyo?Kwanza nizikwe jirani na nyumba yangu ili niwe natoroka makaburini mara mojamoja nione waliokuwa wanamtamani mama Bhoke! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leta huo ushahidi wa mrema kwamba alisema asizikwe Kilimanjaro...

Vinginevyo haya ni mawazo na imani yako binafsi.
Ndiyo hapo sasa maana utaratibu wa kuacha WOSIA unajulikana, sasa isijekuwa Mrema alikuwa tuu anaongea wakiwa wanapata mbege na kitimoto [emoji23] [emoji23]
 
Mbona wengi tu Kilimanjaro walishasema wakifa wazikwe sehemu flani lakini ndugu wakakataa wakawapeleka kuzikwa kwao na hakuna chochote kilichotokea tena maelfu na maelfu. Sasa ito mifano miwili tu. Iyo ni ajali kama ajali zingine na mwenye kosa dereva fuso.

Miafrika acheni mamboya kysenge
Mimi huwa nasema siku zote chanzo kikuu cha ajali nchi hii ni ufinyu wa barabara, dawa ni walau highways zote kuu kuwa na njia (lanes) 3, yaani walau waongeze lane ya 3 kwenye hizi 2 za sasa, hutaona hizi ajali za kugongana uso kwa uso.
 
Nina Ndugu yangu Mmoja Mlevi balaa alishasema Akifa ( Akidanchi ) tu katika Jeneza lake tumuwekee Safari Lager Tatu na Mzinga Mmoja wa Konyagi hivyo tayari tumeshatenga pembeni Bajeti kwa ajili hiyo. Hatutaki kabisa kwenda Kinyume nae ysije kutupata ya Mrema na Tukio zima la Korogwe.
Je asipokufa pumbav kabisa nyie mna mchuria jamaa kisa tu ni mlevi
 
Mkanizike sehemu ambayo hata hawanikumbuki halafu muiache familia yangu mjini?Nani kasema hivyo?Kwanza nizikwe jirani na nyumba yangu ili niwe natoroka makaburini mara mojamoja nione waliokuwa wanamtamani mama Bhoke! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuzikwa Dar kwataka moyo.
Sio kwa joto hili.
Bora kule mlimani angalau ardhi imepoa.
 
Back
Top Bottom