Acheni kulazimisha kumpeleka kumzika marehemu kule ambako alikataa alipokuwa hai

Acheni kulazimisha kumpeleka kumzika marehemu kule ambako alikataa alipokuwa hai

Ni kweli mtu kasema mnizike hapa nyie mnalazimisha Kwa maslahi yenu lazima mkutane na moto
Mbona wengi tu Kilimanjaro walishasema wakifa wazikwe sehemu flani lakini ndugu wakakataa wakawapeleka kuzikwa kwao na hakuna chochote kilichotokea tena maelfu na maelfu. Sasa ito mifano miwili tu. Iyo ni ajali kama ajali zingine na mwenye kosa dereva fuso.

Miafrika acheni mamboya kysenge
 
Nikifa sitaki hekaheka za mortuary wala safari.
 
Na alichokisema kwa 100% Kimetokea.
Tatizo mkuu umesimulia kifupi mno bila ya kuweka details za mkasa huo sawasawa!

Ubishi wote na wasiwasi wa ukweli wa maagizo hayo ya marehemu umeusababisha wewe kwa uandishi wako.

Kwa mfano: ni nani aliyepewa maagizo hayo na marehemu?

Ni sababu zipi zilizopelekea kutengua wosia?

Je habari hizo umehabarishwa na nani?

Kama kuna chanzo ulichokinukuu, ungelikiweka kupunguza watu kuwa na mashaka juu ya ukweli wa jambo hilo.
 
Nina Ndugu yangu Mmoja Mlevi balaa alishasema Akifa ( Akidanchi ) tu katika Jeneza lake tumuwekee Safari Lager Tatu na Mzinga Mmoja wa Konyagi hivyo tayari tumeshatenga pembeni Bajeti kwa ajili hiyo. Hatutaki kabisa kwenda Kinyume nae ysije kutupata ya Mrema na Tukio zima la Korogwe.
Dadeki! Ningekuwa ndugu yako ningesema nikifa mnizike Vatican karibu na makaburi ya Mapapa!!
 
Nina Ndugu yangu Mmoja Mlevi balaa alishasema Akifa ( Akidanchi ) tu katika Jeneza lake tumuwekee Safari Lager Tatu na Mzinga Mmoja wa Konyagi hivyo tayari tumeshatenga pembeni Bajeti kwa ajili hiyo. Hatutaki kabisa kwenda Kinyume nae ysije kutupata ya Mrema na Tukio zima la Korogwe.
Porojo zisizo na msingi
Yaani babu yako kijijini ausie akifa mkamzikie Marekani au Uingereza na mtekeleze na msipotekeleza yatawakuta ya kuwakuta!
Rubbish
 
Maana yake aliyoinunua Nyumba airudishe alikonunua kwa Wototo wa Marehemu. Sikujua kama Jambo hili jepesi tu kwa Akili zako za Kisoda Ungeshinda Kulielewa.
Porojo na ngano za ibada za mizimu
Mtu akishakufa hana mamlaka na alivyoviacha ni Mali ya warithi
 
If I die young
Bury me in satin
Lay me down on a bed of roses
Sink me in the river at dawn
Send me away with the words of a love song.
Lord make me a rainbow
I'll shine down on my mother
She'll know i'm safe with you
When she stands under my colors
Oh well life ain't always what you think it ought to be no
Ain't even grey but she burries her baby
The sharp knife of a short life
Oh well i've had just enough time
 
Lord make me a rainbow
I'll shine down on my mother....
And I'll be wearing white when I come into your kingdom.

I'm as green as the ring on my little cold finger.

I've never known the lovin' of a woman.

But it sure felt nice when she was holding my hand.

There's a girl Zodwa here in town, says he'll love me forever.

Who would have thought forever could be severed by
 
Kumbe Marehemu Mrema akiwa Hai aliacha kabisa Maagizo kuwa Akifa asipelekwe Kuzikwa Kilimanjaro (Moshi) na badala yake azikwe hapa hapa Mkoani Dar es Salaam...

Siyo kuwa madereva wasiokwenda shule hawafai?
 
Back
Top Bottom