MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #21
Ndiyo nani huyu Kiongozi?Talented person kwema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nani huyu Kiongozi?Talented person kwema?
Hakyanane tena!😜😜😜😜🤣🤣🤣🤣🤣Dahhh
Mbona wengi tu Kilimanjaro walishasema wakifa wazikwe sehemu flani lakini ndugu wakakataa wakawapeleka kuzikwa kwao na hakuna chochote kilichotokea tena maelfu na maelfu. Sasa ito mifano miwili tu. Iyo ni ajali kama ajali zingine na mwenye kosa dereva fuso.Ni kweli mtu kasema mnizike hapa nyie mnalazimisha Kwa maslahi yenu lazima mkutane na moto
Waulize hao ndugu kilichowakuta baada ya kulazimisha, Kuna wengine walipotea njia akili zikawa kama zimeruka hawaelewi wanaenda wapi yaani gari liliingia porini huko kibahaMbona wengi tu iwalishasema wakifa wazikwe sehemu flani lakini ndugu wakak
If I die youngUkifa unataka tukuzike hapa hapa Dar es Salaam au tukupeleke Kijijini Kwenu?
Tatizo mkuu umesimulia kifupi mno bila ya kuweka details za mkasa huo sawasawa!Na alichokisema kwa 100% Kimetokea.
Dadeki! Ningekuwa ndugu yako ningesema nikifa mnizike Vatican karibu na makaburi ya Mapapa!!Nina Ndugu yangu Mmoja Mlevi balaa alishasema Akifa ( Akidanchi ) tu katika Jeneza lake tumuwekee Safari Lager Tatu na Mzinga Mmoja wa Konyagi hivyo tayari tumeshatenga pembeni Bajeti kwa ajili hiyo. Hatutaki kabisa kwenda Kinyume nae ysije kutupata ya Mrema na Tukio zima la Korogwe.
Porojo zisizo na msingiNina Ndugu yangu Mmoja Mlevi balaa alishasema Akifa ( Akidanchi ) tu katika Jeneza lake tumuwekee Safari Lager Tatu na Mzinga Mmoja wa Konyagi hivyo tayari tumeshatenga pembeni Bajeti kwa ajili hiyo. Hatutaki kabisa kwenda Kinyume nae ysije kutupata ya Mrema na Tukio zima la Korogwe.
Porojo na ngano za ibada za mizimuMaana yake aliyoinunua Nyumba airudishe alikonunua kwa Wototo wa Marehemu. Sikujua kama Jambo hili jepesi tu kwa Akili zako za Kisoda Ungeshinda Kulielewa.
Ndugu zake jana wakihojiwa wamesema yote hayo... ingia youtube ya azam mediaLeta huo ushahidi wa mrema kwamba alisema asizikwe Kilimanjaro...
Vinginevyo haya ni mawazo na imani yako binafsi.
Lord make me a rainbowIf I die young
Bury me in satin
Lay me down on a bed of roses
Sink me in the river at dawn
Send me away with the words of a love song.
And I'll be wearing white when I come into your kingdom.Lord make me a rainbow
I'll shine down on my mother....
Kumbe Marehemu Mrema akiwa Hai aliacha kabisa Maagizo kuwa Akifa asipelekwe Kuzikwa Kilimanjaro (Moshi) na badala yake azikwe hapa hapa Mkoani Dar es Salaam...