Acheni kupotosha. Hawa bado ni wabunge wa Chadema mahakama bado haijaamua. Hakuna uamuzi wa mahakama uliowabatilisha.

Acheni kupotosha. Hawa bado ni wabunge wa Chadema mahakama bado haijaamua. Hakuna uamuzi wa mahakama uliowabatilisha.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Huu ni uzushi usio na kichwa wala miguu.
Screenshot_20220624-180059.jpg
 
..hawana chama hao.

..mahakama haijabatilisha uamuzi wa Chadema kuwafukuza uanachama.
 
Kama haijabatilisha ina maana kuwa bado ni wabunge wa Chadema

..kama haijabatilisha maana yake uamuzi unaosimama ni ule wa kina Halima kufukuzwa.

..hivyo hivi tunavyozungumza Halima na wenzake 18 sio wanachama wa Cdm.
 
Elewa mkuu hawajawa wabunge batili kwa amri ya mahakama. We umeishia la ngapi?

..pia uelewe kwamba hakuna mahakama iliyobatilisha uamuzi wa Cdm kuwafuta uanachama.

..hivi tunavyozungumza Halima na wenzake 18 sio wanachama wa Chadema.
 
..hawana chama hao.

..mahakama haijabatilisha uamuzi wa Chadema kuwafukuza uanachama.
Shida yetu ni ujuvi basi na ujuzi eidha tunadhani kila kitu ni propaganda..
Lini kesi imesikilizwa? Umesikia shahidi hata mmoja kaitwa?
Kilichofanyika hatua ya awali mwakili upande wa walalamikiwa walihoji uhalali au utaratibu wa kufunguliwa kesi kama ulikuwa sasa kwa kuangalia vipengele 6. Hiyo huitwa Pingamizi la Awali au Preliminary Objections. PO ukishinda zina hukumu mbili kubwa ni kutupwa kesi lakini inatoa fursa kwa aliyeshindwa kuanza upya kwa kurebisha mapungufu yalokuwepo. Anafungua upya.
Hujawahi kusikia hata kesi mama mtu anaachiwa halafu anakamatwa hapohapo?
Kifupi kesi imeanza upya
 
Wanasubiri mahaka iwanullify.

Uanachama walipewa na mahakama?. Mahakamani unaenda kudai ulinzi wa haki au ukiukwaji wa haki kwenye uanachama wako. Sasa wameenda mahakamani ila mahakama imekuta maombi yao hayaeleweki je uanachama wao unaendeleaje kwa misingi gani?.

Usiongee na kilaza Tulia. Huyo Ni bogus na ndio maana akina Musukuma wanaonekana magenious kutokana na vilaza Kama Tulia wanaojiita madoctor.
 
Ni wabunge halali wa CDM,na Mbowe anajua kila kitu

Halali wakati baraza kuu liliwavua uanachama kwa kura za wazi. Usiongee Mambo kwa kufuata njia ya Tulia asiyejua chochote mpaka anajishtukia kwa Dr Musukuma, baada ya kuona msukuma ana akili kuliko yeye. Dr Mzima wa sheria unafanya Mambo ya kijinga kwanini elimu isidharaulike.
 
Shida yetu ni ujuvi basi na ujuzi eidha tunadhani kila kitu ni propaganda..
Lini kesi imesikilizwa? Umesikia shahidi hata mmoja kaitwa?
Kilichofanyika hatua ya awali mwakili upande wa walalamikiwa walihoji uhalali au utaratibu wa kufunguliwa kesi kama ulikuwa sasa kwa kuangalia vipengele 6. Hiyo huitwa Pingamizi la Awali au Preliminary Objections. PO ukishinda zina hukumu mbili kubwa ni kutupwa kesi lakini inatoa fursa kwa aliyeshindwa kuanza upya kwa kurebisha mapungufu yalokuwepo. Anafungua upya.
Hujawahi kusikia hata kesi mama mtu anaachiwa halafu anakamatwa hapohapo?
Kifupi kesi imeanza upya

Acha uongo, akina Halima Mdee walikuwa wamefungua maombi ya kuomba kibali Cha judicial review kwenye maamuzi ya chadema. Mahakama ikasema chadema sio Public body hivyo hawana uhalali wa kuomba judicial review.

Nikuulize swali hiyo kesi mpya wanafungua kwenye Nini?. Wale wapo pale kwasababu ya hulka ya uonevu kwa CHADEMA tuliyojiwekea, kwamba ikifika kwa CHADEMA hata katiba ya nchi inavunjwa.
 
Back
Top Bottom