Chagu wa Malunde JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 8,734 Reaction score 5,750 Jul 22, 2023 #1 Mnapotosha kila mahala. Kisa tu mnaona picha ya Rais Samia.
Kertel JF-Expert Member Joined May 11, 2012 Posts 5,425 Reaction score 5,227 Jul 22, 2023 #2 DP world
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 32,529 Reaction score 76,691 Jul 22, 2023 #3 Mnasiasa zakishamba sana
JF Member JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 7,914 Reaction score 10,793 Jul 22, 2023 #4 CCM imekosa kabisa mbinu. Imeamua kutumia pesa za UMMA kwenye kila jambo lake. Mnazidi kuchochea chuki kwa wananchi na kufanya Rais aonekani hamnazo. Badilikeni.
CCM imekosa kabisa mbinu. Imeamua kutumia pesa za UMMA kwenye kila jambo lake. Mnazidi kuchochea chuki kwa wananchi na kufanya Rais aonekani hamnazo. Badilikeni.
denooJ JF-Expert Member Joined Mar 31, 2020 Posts 18,509 Reaction score 68,228 Jul 22, 2023 #5 Mwarabu amegawa pesa mpaka vipofu wameona, usijaribu kutetea huo ujinga wenu, mnakula rushwa kama mchwa sijui mna matumbo ya aina gani viumbe msioshiba..
Mwarabu amegawa pesa mpaka vipofu wameona, usijaribu kutetea huo ujinga wenu, mnakula rushwa kama mchwa sijui mna matumbo ya aina gani viumbe msioshiba..
KANYEGELO JF-Expert Member Joined Nov 12, 2019 Posts 2,238 Reaction score 4,885 Jul 22, 2023 #6 Chagu wa Malunde said: Mnapotosha kila mahala. Kisa tu mnaona picha ya Rais Samia.View attachment 2695955 Click to expand... Chawa katika ubora wenu ni muda wenu ila mjue nyakat hazidumu
Chagu wa Malunde said: Mnapotosha kila mahala. Kisa tu mnaona picha ya Rais Samia.View attachment 2695955 Click to expand... Chawa katika ubora wenu ni muda wenu ila mjue nyakat hazidumu
Kilimbatzz JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 9,134 Reaction score 14,593 Jul 22, 2023 #7 Aahaaaaa
SMART GHOST JF-Expert Member Joined Feb 3, 2020 Posts 2,657 Reaction score 10,356 Jul 22, 2023 #8 Kwani sisi tumebisha mkuu Changu wa Malunde?
M Makojo JF-Expert Member Joined Jan 23, 2014 Posts 4,403 Reaction score 5,392 Jul 22, 2023 #9 Chagu wa Malunde said: Mnapotosha kila mahala. Kisa tu mnaona picha ya Rais Samia.View attachment 2695955 Click to expand... Kwanini sasa na siyo wakati mwingine?
Chagu wa Malunde said: Mnapotosha kila mahala. Kisa tu mnaona picha ya Rais Samia.View attachment 2695955 Click to expand... Kwanini sasa na siyo wakati mwingine?