Acheni kusomesha watoto kozi za kustafia bali wasomesheni kozi ambazo zinaweza watengenezea bilions of money

Acheni kusomesha watoto kozi za kustafia bali wasomesheni kozi ambazo zinaweza watengenezea bilions of money

Nakutajia hapa.
1. Politics
2. Finance
3. Account
4. Economics
5. Law
Hao ndio watu waliofanikiwa Tanzania kutokana na elimu.
Hawa ndio wanaopaki magari ofisini na kwenye makampuni.
Asilimia tisini hawa ndio wanaiongoza Tanzania.
Siwezi kuendelea kuongezea hapo kwa mazingira ya Tanzania.
Mbona mm npo hapo kwa account lakn nipo bench kitambo
 
Acheni kusomesha watoto kozi za kustafia bali wasomesheni kozi ambazo zinaweza watengenezea bilioni of money...

Kozi za kustafia..............
VS
Kozi za kutengeneza bilioni of money.
Utanielewa tu jaribu kufanya access matajiri wakubwa duniani wamesomea nini, achana na matajiri hawa wakibongo na Afrika.

Ingia marekani ndio kuna matajiri waliotajirika kwasababu ya elimu yao.

Hawa wakibongo achana nao.
Pale makumbusho Dar,Yale majengo ya Vodacom,Tigo,na mengine Mengi ya upande huo yanamilikiwa na Mtanzani,
Huyu jamaa ni Muhandisi wa umeme,kampuni yake ndio inatengeneza hizo nguzo za umeme za Cement ambazo zinafungwa sasa hv kila kona Dar.
Kampuni yake inauwezo wa kujenga miradi ya REA kwa mwaka mzima bila kulipwa na Serikali.
 
Acheni kusomesha watoto kozi za kustafia bali wasomesheni kozi ambazo zinaweza watengenezea bilioni of money...

Kozi za kustafia..............
VS
Kozi za kutengeneza bilioni of money.
Utanielewa tu jaribu kufanya access matajiri wakubwa duniani wamesomea nini, achana na matajiri hawa wakibongo na Afrika.

Ingia marekani ndio kuna matajiri waliotajirika kwasababu ya elimu yao.

Hawa wakibongo achana nao.

Kozi za kustaafia kwa mfano _______

Kozi za kutengeneza billions Kwa mfano____
 
Nakutajia hapa.
1. Politics
2. Finance
3. Account
4. Economics
5. Law
Hao ndio watu waliofanikiwa Tanzania kutokana na elimu.
Hawa ndio wanaopaki magari ofisini na kwenye makampuni.
Asilimia tisini hawa ndio wanaiongoza Tanzania.
Siwezi kuendelea kuongezea hapo kwa mazingira ya Tanzania.
90% kwa kigezo kipi,,, na unataka kutuaminisha kuwa waliosoma kozi hizo wote ni matajiri kwa Tz?
 
Nakutajia hapa.
1. Politics
2. Finance
3. Account
4. Economics
5. Law
Hao ndio watu waliofanikiwa Tanzania kutokana na elimu.
Hawa ndio wanaopaki magari ofisini na kwenye makampuni.
Asilimia tisini hawa ndio wanaiongoza Tanzania.
Siwezi kuendelea kuongezea hapo kwa mazingira ya Tanzania.
kuna ukweli ndani yake, maana sisi tuliosoma sayansi ni balaa tupu, jua kali mifukoni na mishahara ya mafundi ipo chini sana.
 
huna tofauti na wale wanaolipwa vimilioni 2 kisha wanaanza kudhihaki waalimu.

kila mtu akisomea unachohisi ni bora basi hakitakuwa bora tena.
 
Kozi zinazolipa hapa bongo ni engeering hasa civil, electronics na mechanical hata za ICT kiujumla kozi za engeering and archcture za Ardhi.

Kozi za afya huwezi kosa pesa ya chakula na ya IST mjini medical lab,Radiographs,nursing na MD(bila kuwa na master's au specialist ni mtihan kidogo).

Kozi za arts na biashaara kama vile laws kwa sababu ikitokea appointmnt and legal documnt sign mwanasheria atahusika, pia accounts wahasibu wetu kila kampun and income departmnt wanahitajika kama vile vikoba.

Kozi za politcs na socialogy nazo kimtindo hila sio sana mpunga kuingia mfukoni
mwisho wa kuwasilisha.
 
IMG_20211015_132927.jpg
 
Nakutajia hapa.
1. Politics
2. Finance
3. Account
4. Economics
5. Law
Hao ndio watu waliofanikiwa Tanzania kutokana na elimu.
Hawa ndio wanaopaki magari ofisini na kwenye makampuni.
Asilimia tisini hawa ndio wanaiongoza Tanzania.
Siwezi kuendelea kuongezea hapo kwa mazingira ya Tanzania.
Nani kasoma politics kawa bilionea
 
Back
Top Bottom