Mbona mm npo hapo kwa account lakn nipo bench kitamboNakutajia hapa.
1. Politics
2. Finance
3. Account
4. Economics
5. Law
Hao ndio watu waliofanikiwa Tanzania kutokana na elimu.
Hawa ndio wanaopaki magari ofisini na kwenye makampuni.
Asilimia tisini hawa ndio wanaiongoza Tanzania.
Siwezi kuendelea kuongezea hapo kwa mazingira ya Tanzania.
Pale makumbusho Dar,Yale majengo ya Vodacom,Tigo,na mengine Mengi ya upande huo yanamilikiwa na Mtanzani,Acheni kusomesha watoto kozi za kustafia bali wasomesheni kozi ambazo zinaweza watengenezea bilioni of money...
Kozi za kustafia..............
VS
Kozi za kutengeneza bilioni of money.
Utanielewa tu jaribu kufanya access matajiri wakubwa duniani wamesomea nini, achana na matajiri hawa wakibongo na Afrika.
Ingia marekani ndio kuna matajiri waliotajirika kwasababu ya elimu yao.
Hawa wakibongo achana nao.
Acheni kusomesha watoto kozi za kustafia bali wasomesheni kozi ambazo zinaweza watengenezea bilioni of money...
Kozi za kustafia..............
VS
Kozi za kutengeneza bilioni of money.
Utanielewa tu jaribu kufanya access matajiri wakubwa duniani wamesomea nini, achana na matajiri hawa wakibongo na Afrika.
Ingia marekani ndio kuna matajiri waliotajirika kwasababu ya elimu yao.
Hawa wakibongo achana nao.
90% kwa kigezo kipi,,, na unataka kutuaminisha kuwa waliosoma kozi hizo wote ni matajiri kwa Tz?Nakutajia hapa.
1. Politics
2. Finance
3. Account
4. Economics
5. Law
Hao ndio watu waliofanikiwa Tanzania kutokana na elimu.
Hawa ndio wanaopaki magari ofisini na kwenye makampuni.
Asilimia tisini hawa ndio wanaiongoza Tanzania.
Siwezi kuendelea kuongezea hapo kwa mazingira ya Tanzania.
Blog yako au website yako ni ipi?Mbona mm npo hapo kwa account lakn nipo bench kitambo
kuna ukweli ndani yake, maana sisi tuliosoma sayansi ni balaa tupu, jua kali mifukoni na mishahara ya mafundi ipo chini sana.Nakutajia hapa.
1. Politics
2. Finance
3. Account
4. Economics
5. Law
Hao ndio watu waliofanikiwa Tanzania kutokana na elimu.
Hawa ndio wanaopaki magari ofisini na kwenye makampuni.
Asilimia tisini hawa ndio wanaiongoza Tanzania.
Siwezi kuendelea kuongezea hapo kwa mazingira ya Tanzania.
Nani kasoma politics kawa bilioneaNakutajia hapa.
1. Politics
2. Finance
3. Account
4. Economics
5. Law
Hao ndio watu waliofanikiwa Tanzania kutokana na elimu.
Hawa ndio wanaopaki magari ofisini na kwenye makampuni.
Asilimia tisini hawa ndio wanaiongoza Tanzania.
Siwezi kuendelea kuongezea hapo kwa mazingira ya Tanzania.
Mbona mm npo hapo kwa account lakn nipo bench kitambo
Tafuta kama utalingana naoNani kasoma politics kawa bilionea
tuonyeshe hizo kozi kwani tuntofautiana exposureππππππππππnimerusha jiwe gizani kwanaowaza kinesinesi, wanaowaza kitabibutabibu na kiualimualimu