Acheni kuweka password kwenye simu ili.likitokea lolote iwe corona au chochote mawasiliano yawepo

Acheni kuweka password kwenye simu ili.likitokea lolote iwe corona au chochote mawasiliano yawepo

Maisha ya Mjini yalivo na mbilinge mbilinge.... ukiokota simu yng... nakuhakikishia humalizi dk 15 utakuwa ushapigiwa na wanaonihusu.... pokea waambie mwenye simu hii tumemuokota.... pa kuanzia unapo Jombaa...
 
Ipo hivi... Baadhi ya simu unaweza kuadd taarifa ambazo mtu yoyote ataweza kuziaccess hata kama simu yako itakuwa ipo locked. Na siyo kuziaccess tu, ataweza hata kupiga kwenye namba za simu ambazo umeweka huko kwenye emergence mode.

Mfano kama mimi simu yangu hizo taarifa unaziweka kwenye contacts. Yaani ukiingia kwenye contacts kuna sehemu ya kujaza info zako.

Hii hapa [emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1434641

Then ukiingia hapo itakuja hivi[emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1434643

Then ukiingia hapo juu kulia palipoandikwa edit itakuja hivi[emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1434645

Ambapo hapo utaweza kujaza hizo info.


Na kama ukitaka kuzipata kama simu ipo locked, Utaingia kwenye emergency call thrn utabonyeza hapo nilipolocate.[emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1434646

Hapo ndio utazipata hizo info...

Pia kwa mtu anayehitaji kuweka hizo info kwa simu yake ni vizuri akajaribiu kusearch youtube... ..
Bo's thanks nimepaona.na nimefanya hivyo.ubarikiwe mno
 
Ushauri wako sio kwa dunia yetu hii ya tatu ambako huwezi kumtofautisha muungwana na tapeli au mwivi.
 
Back
Top Bottom