Acheni kuweka password kwenye simu ili.likitokea lolote iwe corona au chochote mawasiliano yawepo

Maisha ya Mjini yalivo na mbilinge mbilinge.... ukiokota simu yng... nakuhakikishia humalizi dk 15 utakuwa ushapigiwa na wanaonihusu.... pokea waambie mwenye simu hii tumemuokota.... pa kuanzia unapo Jombaa...
 
Bo's thanks nimepaona.na nimefanya hivyo.ubarikiwe mno
 
Ushauri wako sio kwa dunia yetu hii ya tatu ambako huwezi kumtofautisha muungwana na tapeli au mwivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…