Acheni Tabia Chafu

Acheni Tabia Chafu

PastorPetro

Senior Member
Joined
Feb 25, 2008
Posts
189
Reaction score
36
Nasikitika sana kuwa hadi leo pamoja na kuwa kuna magonjwa ya zinaa tele kuwa Watu bado wanajazana Gesti kufanya uharamu wakati wa lunch break. Yaani ulizia gesti yoyote City Centre saa za mchana, utaambiwa umejaa! Bukoba ndo hawajakoma, na maplastiki kwenye godoro ni biashara kubwa mno!:eek2:

Acheni dhambi katika jina la Bwana!
 
Nasikitika sana kuwa hadi leo pamoja na kuwa kuna magonjwa ya zinaa tele kuwa Watu bado wanajazana Gesti kufanya uharamu wakati wa lunch break. Yaani ulizia gesti yoyote City Centre saa za mchana, utaambiwa umejaa! Bukoba ndo hawajakoma, na maplastiki kwenye godoro ni biashara kubwa mno!:eek2:

Acheni dhambi katika jina la Bwana!
Ulijuawaje. Kama na wewe hukuwa mmoja wa kutafuta hivyo vyumba. Hebu tuelezee
 
nasikitika sana kuwa hadi leo pamoja na kuwa kuna magonjwa ya zinaa tele kuwa watu bado wanajazana gesti kufanya uharamu wakati wa lunch break. Yaani ulizia gesti yoyote city centre saa za mchana, utaambiwa umejaa! Bukoba ndo hawajakoma, na maplastiki kwenye godoro ni biashara kubwa mno!:eek2:

Acheni dhambi katika jina la bwana!

kwa jina la bwana yesu na wewe usirudi tena huko kuona huo uchafu
 
Nasikitika sana kuwa hadi leo pamoja na kuwa kuna magonjwa ya zinaa tele kuwa Watu bado wanajazana Gesti kufanya uharamu wakati wa lunch break. Yaani ulizia gesti yoyote City Centre saa za mchana, utaambiwa umejaa! Bukoba ndo hawajakoma, na maplastiki kwenye godoro ni biashara kubwa mno!:eek2:

Acheni dhambi katika jina la Bwana!

Sijakuelewa umemaanisha nini kusema hivyo maana ni kama vile umekurupuka haraka na pia umejuaje kama city centre gesti zinakuwa zimejaa mchana?
 
your Location=Boston Massach.
Post yako issue za cety centre ya boston au dar? hasira yako ni kwa kuwa ulikosa chumba?
 
Hii ndio ileeee....! "Mbona unaniangalia?, lakini nawe umeonaje unaangaliwa?"
 
jamani msameheni huyu kuna mawili

alilipa hela bila kujua hela aliolipa ni short time akatimuliwa\\

ama alikula DEO(chabo)wahusika wakamtoa resi akaona aje kumalizia asira huku lakini vyote nakupongeza we ni mpambanaji kama DK SILAA
 
nasikitika sana kuwa hadi leo pamoja na kuwa kuna magonjwa ya zinaa tele kuwa watu bado wanajazana gesti kufanya uharamu wakati wa lunch break. Yaani ulizia gesti yoyote city centre saa za mchana, utaambiwa umejaa! Bukoba ndo hawajakoma, na maplastiki kwenye godoro ni biashara kubwa mno!:eek2:

Acheni dhambi katika jina la bwana!

siku nyingine usiogope taja jina kuna mabwana wengi

inv
mwanakilegi
sam
appy

taja jina la bwana yesu hata shetn anaitwa bwana ??ama ulimaanisha mwingine
najua bwana yesu ndiop asiependa hivi wengine siwajui
 
Nasikitika sana kuwa hadi leo pamoja na kuwa kuna magonjwa ya zinaa tele kuwa Watu bado wanajazana Gesti kufanya uharamu wakati wa lunch break. Yaani ulizia gesti yoyote City Centre saa za mchana, utaambiwa umejaa! Bukoba ndo hawajakoma, na maplastiki kwenye godoro ni biashara kubwa mno!:eek2:

Acheni dhambi katika jina la Bwana!

Pastor mbona una hasira hivo? kama ulikosa chumba mchana ungerudi jioni baada ya kazi au shosti alisema ikikosekana sasa zoezi life?
 
Nasikitika sana kuwa hadi leo pamoja na kuwa kuna magonjwa ya zinaa tele kuwa Watu bado wanajazana Gesti kufanya uharamu wakati wa lunch break. Yaani ulizia gesti yoyote City Centre saa za mchana, utaambiwa umejaa! Bukoba ndo hawajakoma, na maplastiki kwenye godoro ni biashara kubwa mno!:eek2:

Acheni dhambi katika jina la Bwana!
Una evidence au unalopoka ?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu mmoja wa wateja wa guest za city centre mchana ndo maana ana data zote kuwa vyumba hujaa msameheni ni hasira za kukosa chumba hizo
 
Back
Top Bottom