GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Naona wenye Iphone 5 wameanza kuja kwa Usununu / Hasira. Pole sana Mkuu ila Sindano ya Dotto Magari imekuingia.Anapaki nyumbani kwake magari ya kupigia udalali,anawaoneshea mnamuona mjanjaaa,muzaramo yule ana maneno kibaaao hana kitu ππ
Fukara tu
mrs mmakonde katika ubora wako....Kama mimi nikisema nahamu ya kubomolewa uchi watu wananuna.
Msomi hujui hata kuandika, unaandika takataka.Ningekuwa si Msomi 'ungenibenjulia' nikuweke nalo?
Mtu kafanywa kama taahira nyie mnamuona mjanja ππNaona wenye Iphone 5 wameanza kuja kwa Usununu / Hasira. Pole sana Mkuu ila Sindano ya Dotto Magari imekuingia.
Ni kuwaomba TRA wapunguze kodi za magari ili Watanzania wengi waweze kumiliki hata vigari vidogo yaani imekua ni jambo la hadithi mtu kupanda bolt au dala dala wakati ni jambo la kawaida tu hilo..
Inafika wakati wanaheshimiana kwa sababu ya magari daah Nchi ngumu sana hiyo wangejua kuwa ni vyuma chakavu tu wasingekua busy na huo ujinga..MTU mweusi ni MTU mjinga Sana
Hata child support ya mtoto wake anashindwa kutoa mpaka ashitakiweAnapaki nyumbani kwake magari ya kupigia udalali kapewa auze,anawaoneshea kua ni yake mnamuona mjanjaaa,muzaramo yule ana maneno kibaaao hana kitu ππ
Fukara tu
Huu bdio ukweli ambao wasomi wengi hatupendi kusikia, perfect !"Wasomi nikiwa nawasema Kutwa msiwe mnanichukia kwani nawatoeni Ushamba na nawafundisha jinsi ya Kufikiri. Unakuta Msomi ananunua Simu aina ya Iphone 15 yenye Thamani ya Shilingi Milioni Tano halafu unakuta amepakuwa App ya Bolt. Sasa kwanini hiyo Shilingi Milioni Tano yako usingenunua tu Pikipiki ya Shilingi Milioni Mbili iwe inakupeleka unakokenda Kutwa na hiyo Shilingi Milioni Tatu ukanunu hata Kiwanja mahala kuliko kutafuta Sifa za Kijinga uonekane una Simu Kali wakati Akili huna?"amesema Influencer Dotto Magari.
Hakuna Mtu GENTAMYCINE namkubali kama Dotto Magari, kwani anachokisema Kwetu Wasomi yuko sahihi 100% zote.
Mtu mweusi akikuona unaendesha gari anazidi kukuheshimu sana na kukuona mjanjaInafika wakati wanaheshimiana kwa sababu ya magari daah Nchi ngumu sana hiyo wangejua kuwa ni vyuma chakavu tu wasingekua busy na huo ujinga..
Lakini hata kama hana hivyo anavyovisema na ukaamua kujikita kwenye hoja yake ya msingi utagundua alichozungumza ni logicAnapaki nyumbani kwake magari ya kupigia udalali kapewa auze,anawaoneshea kua ni yake mnamuona mjanjaaa,muzaramo yule ana maneno kibaaao hana kitu ππ
Fukara tu
Logic za masikini hua unaziamini?πLakini hata kama hana hivyo anavyovisema na ukaamua kujikita kwenye hoja yake ya msingi utagundua alichozungumza ni logic
Ukienda kwenye nyumba ya ibada ukaambiwa tenda mema ili mwisho wa siku usichomwe moto, wale wanaosema hayo maneno kwako quote vifungu vya maandiko.Logic za masikini hua unaziamini?π
Mnapewa logic za Maisha na Doto magari,kweli elimu haijawakomboa
"Wasomi nikiwa nawasema Kutwa msiwe mnanichukia kwani nawatoeni Ushamba na nawafundisha jinsi ya Kufikiri. Unakuta Msomi ananunua Simu aina ya Iphone 15 yenye Thamani ya Shilingi Milioni Tano halafu unakuta amepakuwa App ya Bolt. Sasa kwanini hiyo Shilingi Milioni Tano yako usingenunua tu Pikipiki ya Shilingi Milioni Mbili iwe inakupeleka unakokenda Kutwa na hiyo Shilingi Milioni Tatu ukanunu hata Kiwanja mahala kuliko kutafuta Sifa za Kijinga uonekane una Simu Kali wakati Akili huna?"amesema Influencer Dotto Magari.
Hakuna Mtu GENTAMYCINE namkubali kama Dotto Magari, kwani anachokisema Kwetu Wasomi yuko sahihi 100% zote.
Usitupangie namna ya kuishiMtu anakunywa bia za laki mbili nyumbani ana shuka mbili moja kujifunika moja kutandika
Tatizo lenu mnaangalia jambo moja tu, yaani item moja tu simu!Yaani unamiliki simu ya 5m unatembea kwa miguu!!
Mimi ni nani mpaka nikupangie mkuu?Usitupangie namna ya kuishi