Acheni tu huyu Dotto Magari aendelee Kutudharau Sisi Wasomi wa Tanzania na ninakubaliana nae kwa 100%

Acheni tu huyu Dotto Magari aendelee Kutudharau Sisi Wasomi wa Tanzania na ninakubaliana nae kwa 100%

"Wasomi nikiwa nawasema Kutwa msiwe mnanichukia kwani nawatoeni Ushamba na nawafundisha jinsi ya Kufikiri. Unakuta Msomi ananunua Simu aina ya Iphone 15 yenye Thamani ya Shilingi Milioni Tano halafu unakuta amepakuwa App ya Bolt. Sasa kwanini hiyo Shilingi Milioni Tano yako usingenunua tu Pikipiki ya Shilingi Milioni Mbili iwe inakupeleka unakokenda Kutwa na hiyo Shilingi Milioni Tatu ukanunu hata Kiwanja mahala kuliko kutafuta Sifa za Kijinga uonekane una Simu Kali wakati Akili huna?"amesema Influencer Dotto Magari.

Hakuna Mtu GENTAMYCINE namkubali kama Dotto Magari, kwani anachokisema Kwetu Wasomi yuko sahihi 100% zote.
Kunywa bia wewe..iphone haijengi nyumba
 
Umaarufu bongo unapatikana kwa kushambulia watu wengine. Akisimama huyo msomi akaanza kujibu mtasema ana jeuri kwa kusomeshwa na kodi zenu. Acheni kupamba ujinga. Hii dunia kila mtu ana sehemu yake na umuhimu wake.
 
Mh jamii forum great thinker ndo mnawaza ivyo na kwa mifano iyo ndo inakusababisha udharau wasomi duuuh bas bado tunasafar ndefu sana.

Msomi umetumia akili ndogo kujadili mambo makubwa ama ndo ulichofundishwa rorya
Mleta mada anajifanya mjanja sana na upstair ni mweupe kabisa
 
Back
Top Bottom