Acheni tu huyu Dotto Magari aendelee Kutudharau Sisi Wasomi wa Tanzania na ninakubaliana nae kwa 100%

Acheni tu huyu Dotto Magari aendelee Kutudharau Sisi Wasomi wa Tanzania na ninakubaliana nae kwa 100%

Kama jobless simu ya 5m kaitoa wapi? Wazazi waweza kuwa na pesa wakampa hawataki mtoto wao apate shida hata kama jobless
Wazazi hawataki mtoto wao apate shida! wakamsomesha mpaka chuo ili asipate shida then wakamnunulia simu ya 5m huku anakaa home kula kulala.

Kuzurula kutwa kutafuta ajira kwa kazi ya 9k th?!

Mimi ukinipa simu ya thamani hiyo leo, kesho naiuzaa!
 
Wazazi hawataki mtoto wao apate shida! wakamsomesha mpaka chuo ili asipate shida then wakamnunulia simu ya 5m huku anakaa home kula kulala.

Kuzurula kutwa kutafuta ajira kwa kazi ya 9k th?!

Mimi ukinipa simu ya thamani hiyo leo, kesho naiuzaa!
Shida nini kwani ?

Kitanda analalia cha milioni 10

Kwa hiyo kama hana ajira na mzazi ana pesa kwa hiyo alale kwenye mkeka wa elfu moja na simu awe na Nokia torch ?

Pole kwa kuzaliwa familia maskini ambako wanaona simu ya milioni 5 ni Big deal

Watoto wa wenye nazo unakuta hana ajira na mzazi kumnunulia gari ya milioni 80.ya kutembelea anapoenda kutafuta kazi au interview anajaziwa mafuta

Kuwa hana kazi ndio aishi kimaskini wakati familia tajiri haiwezekani itakuwa kushusha hadhi ya familia na watu nje kuona mtoto ananyanyaswa kisa hana kazi

Lazima aishi maisha standard ya level ya utajiri wa familia hata kama ni jobless
 
"Wasomi nikiwa nawasema Kutwa msiwe mnanichukia kwani nawatoeni Ushamba na nawafundisha jinsi ya Kufikiri. Unakuta Msomi ananunua Simu aina ya Iphone 15 yenye Thamani ya Shilingi Milioni Tano halafu unakuta amepakuwa App ya Bolt. Sasa kwanini hiyo Shilingi Milioni Tano yako usingenunua tu Pikipiki ya Shilingi Milioni Mbili iwe inakupeleka unakokenda Kutwa na hiyo Shilingi Milioni Tatu ukanunu hata Kiwanja mahala kuliko kutafuta Sifa za Kijinga uonekane una Simu Kali wakati Akili huna?"amesema Influencer Dotto Magari.

Hakuna Mtu GENTAMYCINE namkubali kama Dotto Magari, kwani anachokisema Kwetu Wasomi yuko sahihi 100% zote.
Na haandamani
 
Shida nini kwani ?

Kitanda analalia cha milioni 10

Kwa hiyo kama hana ajira na mzazi ana pesa kwa hiyo alale kwenye mkeka wa elfu moja na simu awe na Nokia torch ?

Pole kwa kuzaliwa familia maskini ambako wanaona simu ya milioni 5 ni Big deal

Watoto wa wenye nazo unakuta hana ajira na mzazi kumnunulia gari ya milioni 80.ya kutembelea anapoenda kutafuta kazi au interview anajaziwa mafuta

Kuwa hana kazi ndio aishi kimaskini wakati familia tajiri haiwezekani itakuwa kushusha hadhi ya familia na watu nje kuona mtoto ananyanyaswa kisa hana kazi

Lazima aishi maisha standard ya level ya utajiri wa familia hata kama ni jobless
Elimu kwa mtoto wa don ni kama burudani ni extra tu.
 
Hilo jambo niliwahi kuliona kitambo sana.

Wabongo wanapenda sana simu na magari.

Unakuta ana mshahara mdogo lakini ana simu ya gharama kubwa sana.

Au unakuta kapanga lakini ana gari la milioni 30;

Sasa unajiuliza badala ya kununua gari la milioni 30 wakati umepanga si bora ununue kiwanja na kupandisha mjengo?

Kawaida sana kwa wabongo.
 
Back
Top Bottom