Unajua akina Joti wameumiza watu na kuwaathiri kisaikolojia kwa kile kipindi chao infamous KUFULIA. Walizidi sana hadi walipigwa stopu. Lunyamila hana ugomvi na mtu wakamuigiza kafulia. Eti Vengu ndie Lunyamila sasa hivi jamaa anaumwa yuko kitandani.
Walishamuigiza mama Asma kadogo (taarab)kafulia ilibaki wairushe hewani
akafariki wiki iyo iyo ikabidi waifute. Bila aibu Mc Regan likahudhuria msibani na yeye ndie aliigiza kama Asma.
Na wabongo wanavyopenda umbea na watu kufulia yani kipindi kilikuwa maarufu sana.
Muosha uoshwa. Sasa nalo linavunjiwa nyumba bila fidia.
Hii hapa chini ni video moja tu ya kipekee ambayo ipo youtube ya kipindi cha hovyo kabisa Kufulia walivyomdhalilisha Muumin Mwinjuma kocha wa dunia.
Mods msiunganishe uzi
Orijino komedi na umefulia - YouTube
Walishamuigiza mama Asma kadogo (taarab)kafulia ilibaki wairushe hewani
akafariki wiki iyo iyo ikabidi waifute. Bila aibu Mc Regan likahudhuria msibani na yeye ndie aliigiza kama Asma.
Na wabongo wanavyopenda umbea na watu kufulia yani kipindi kilikuwa maarufu sana.
Muosha uoshwa. Sasa nalo linavunjiwa nyumba bila fidia.
Hii hapa chini ni video moja tu ya kipekee ambayo ipo youtube ya kipindi cha hovyo kabisa Kufulia walivyomdhalilisha Muumin Mwinjuma kocha wa dunia.
Mods msiunganishe uzi
Orijino komedi na umefulia - YouTube