Acheni tu taarabu ni tamu, na zinafunza jamii haswaa!

taarabu inachangamsha bwana,hizo huwa nasikiliza ila huwa napenda kusikiliza nikiwa nahitaji utulivu tena niwe peke yangu ndo huwa nazitumia sana hizi
lazima na wine pembeni
 

kuna wimbo mmoja hivi wa marehemu nasma hamisi unaitwa mwanamke mazingira naupenda sana huo wimbo wala sichokagi kuusikiliz jamani though am a man.
 
ananifikisha sio naenda mbagala anaishia tandika huyo ni malkia wa tarabu bi khadija ommary kopa mama anajua bwana
 
Asiyekujua hakuthamini,nyuki anapigwa moto sababu ya asali yakeeee
 
Haloooooooooo!!!!!!!!!!!! mashairi siyajui vizuri lakini napenda,,,,
kitanda kidogo eee chanibana bana nataka kulala na bwana raha zikizidi tutaangusha!!!!!!!

hii mistari yanikosha pia,,,,,,,,,,;
nimerudi kwa muadhama aaaa pesa roho wa mapenzi mmmmmh!!!!!
kwenu nimekwisha hama aaaaaaaa mmeshindwa kunienzi iiiiiiiiiiiiiiii huku nna lishwa nyama ya mishkaki ya mbuzi
 
"Kwanza tuheshimianee, mimi nawe hatushei mume walau nikudiscuss. Uongo tusizuliane na vibaya usiniseme ukanitilia nuksi". Afu pale sasa "una hamu nikuseme, nikikusema utaliaaa, una hamu nikuchambe, nikikuchamba utazimiaaa"

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Tarabu tamu kweli.... Vijana wengi wakike na kiume wameanza ushoga sababu ya tarabu I hate it
 
Kuna lile song la Mzee Yusuph...ndani yake kuna maneno kama 'kanishika hapa kanishika pale....'

Ule wimbo una maneno ya mahabati sana
 
Tarabu tamu kweli.... Vijana wengi wakike na kiume wameanza ushoga sababu ya tarabu I hate it

kina sir eliton john,rick martin kumbe wote hao ni wadau wa tarab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…