Acheni tu taarabu ni tamu, na zinafunza jamii haswaa!


aah basi wenzanguuuuu
huo si ujabariiiiiii
hayo ni maruperupeeee
nyinyi si mungu mpunguze wenu munkari naye mapepe e ee ee
kosa langu kukaaa nanyi vizuri ............
.................
Mrembo by Nature sijui ndi hivo, maana nausikiaga tu nahuwa unanivutia kuusikia
 
Last edited by a moderator:

Ndio huu bwana, basi naupendaje
 
Kuna taarabu ilikuwa na jina la 'mtwangio', sikumbuki hata mwimbaji ni nani.
 

Sina mpenzi, jeuri yangu youtube tuu wala sina hata collection yoyote
 
mie taarabu imenipitia pembeni.....ila huyu Patricia huwa ananikosha sanaaa.......
 


Hahahaha wewe hata si masikini, sema tu ni swala la muda
 
Sio kusi kasikazi wema wangu bado,kwa neema yake jalari bahati haina siri muda wake ukifikia,muomba mungu kwa dhati husitirika,kila muomba mungu hatoki mtupu daima hata uwe sungusungu hata kunyima Bi mwanahawa ally weeeeee hapana chezea
 
Hewalaaaa...huu wimbo naukumbuka sana kwani enzi hizo za ujana wangu wenyewe tukijiita 'cheki bobu' basi kulikuwa na binti namsarandia akiitwa kwa jina Sina.

Sasa wimbo huu nilipotoa tu dedikesheni kwa binti Sina, ukawa umenirahisishia kazi ngumu ya tongozo (vijana wa zamani wanajua jinsi tongozo lilivyokuwa ni kibarua kigumu kama cha kuchuna ngozi ya kitimoto)...

Sina mimi sina, mwingine zaidi yako weweeee
Sina mimi sina, atakayekushinda weweeeee

Ni wewe hakuna mwingine anipendezaye
Wala kulingana nawe simuoni huyooo *2
Ni wewe peke yako unitoshayeee
 
Nimetaka kukuwekeawimbo wa Coast Taarabu-Kukupenda isiwe tabu, basi tu nimeshindwa.

Nilitaka kukwambia nisije kuta unaimba huo badala ya kuwachakachua wezi wa mabwana

Utafute tafute basi
 
Ha ha ha, vijana watajulia wapi wakati washarahisishiwa na instagram, fb na twira?


Ilikuwani kibarua cha miaka kabisa.

 
mi naipenda ninapokuwa kwenye mduara...afu mbele yangu kuna lijimama linanyonga mauno na liwowo lainiiii...,afu limama lenyewe liwe linajua kucheza mugongomugongo na kupekechapekecha km linabrashi via2 vile...!!
 
mi naipenda ninapokuwa kwenye mduara...afu mbele yangu kuna lijimama linanyonga mauno na liwowo lainiiii...,afu limama lenyewe liwe linajua kucheza mugongomugongo na kupekechapekecha km linabrashi via2 vile...!!

Ha ha ha!! sio kama vile maungo ya nyuma yanaporindima pale linaposugua kisigino baada ya kutoka kujikosha mwili kwenye mabafu yetu yale ya uani...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…