Kamawewe
JF-Expert Member
- Jan 16, 2013
- 533
- 521
Kazi kweli kweli! Heaven kwa mashairi hayo uliyokariri ukigombana na mtu si atajificha au ni tofauti na uhalisia wako.
"Kwanza tuheshimianee, mimi nawe hatushei mume walau nikudiscuss. Uongo tusizuliane na vibaya usiniseme ukanitilia nuksi". Afu pale sasa "una hamu nikuseme, nikikusema utaliaaa, una hamu nikuchambe, nikikuchamba utazimiaaa"
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums