Acheni uchoyo jamani!!!!!

Acheni uchoyo jamani!!!!!

Hii sikukuu imeangukia kwenye siku nzuri kwangu ila cha kushangaza sina mwaliko hata mmoja daah
Imefanya w.end ikawa ndefu, halafu ikawa ndefu kweli[emoji134][emoji134]
 
Nimeona bora nibadirishe sio Kila sikukuu kula mapochopocho,
Nimealika wengi ila baada ya kuweka sinia ya ugali nikajikuta Niko peke yangu, ila umebaki mwingi tu[emoji16][emoji16][emoji16]
Aaah!! Yaani ualike watu halafu uweke ugali?
 
Kweli hali mbaya..ndugu zetu waislam mnakwama wap
Tulia hapo hapo.
IMG_20190811_142741.jpg
 
Sikukuu tunakaa na familia zetu, michepuko subirini siku za kazi mida ya jioni hadi usiku
Hivi leo ni sikukuu kweli?
Nimeandaa njaa tangu jana nikijua leo nitapata mialiko ya kutosha nichague tu pa kwenda kujaza tumbo. Ila sasa tangu asubuhi naichunga simu kama nachemsha maziwa vile, nikitegemea itaingia call au text ya mwaliko ila holaaa!!

Ndio kusema vyuma vimekaza kiasi hicho jamani[emoji24][emoji24][emoji24] tusifanyiane hivyo tafadhali. Hapa nina njaa na hela yote halafu hata mkaa sina, kuingia jf nakuta kina hazard cfc wameandaa mapochopocho halafu wamealikana wenyewe huko sisi twala kwa picha(kanizidishia tu njaa yangu[emoji57][emoji57])

Sasa wapendwa hii siku bado mbichi tuu, hebu fanyeni kama mnajikuna basi turahisishiane sikukuu. Raha ya sikukuu ule na wenzio jamani.

Haya napokea mialiko.
Muwe na sikukuu njema.
 
Back
Top Bottom