Acheni uongo, huwezi kuvaa hivi kisha uniambie una heshima

Acheni uongo, huwezi kuvaa hivi kisha uniambie una heshima

Mbona umeweka picha ya watu wanaonekana wapo kwenye event? Au hapo ni kwako mkuu walikuja kama wanavyoonekana wakakukera?
Nimejaribu kukuwekea picha ya kitu ninachokizungumzia.
 
nauelewa sana msemo moja wa ki inglish unasema ''clothes reveal a person''..
 
Hivi wezi wa Mali za umma, wanaoua watu kutokana na visasi n.k huwa wanavaaje?
Rejea kichwa cha habari na habari yenyewe nilivyoiandika,utaelewa nazungumzia nini.
 
Hawa vipi, si ndio mashetani kabisa au??!!

maxresdefault.jpg
Matiti yamechoka hadi kinyaa. Sijui kutumika sana? Kwa nini usijisitiri?
 
Bwana Samsun umenifanya ni-zoom in mpaka maximum lakini sijaona kufuli la rangi uliyotaja au nyingine! Wewe umefanyaje mpaka umeona? Halafu yawezekana heshima yao ni ya msimu kama weather au seaons zilivyo.

Ladies-dressed-in-mini-skirts-attending-a-church-service-in-South-Africa.jpg
Niliogopa kusema hawavai hiyo kitu.
 
Tusiongopeane bhana, yaani kabisa umevaa kisketi kifupiiiiii hadi tight ya ndani inaonekana kuwa ni nyeupe na ramani ya chupi ileeeeeeeeee kama haitoshi umevaa na ki blauzi chako mwenyewe kinachoonyesha matiti yako kisha uniambie eti oooh usim jaji mtu kwa mavazi yake, hivi ni kweli kabisa au mnatania ........ Basi sawa wewe unajiheshimu je kilichokufanya utuvalie hivi ni kitu gani ???

Ladies-dressed-in-mini-skirts-attending-a-church-service-in-South-Africa.jpg


Kuna hiki nacho cha kiume kimeshapiga kiduku chake kama cha Balotel, kisha katuachia makalio nje kiasi anatuonyesha li boxer lake jeupe hadi linataka kuwa rangi nyeusi kiasi kwamba anafanya kazi ya kuipandisha suruali kama vile mikanda imepigwa marufuku kuvaliwa lakini ukiuliza ooooh usim jaji mtu kwa kumuangalia kweli kabisa ???

Nasema hivi HESHIMA NI YA MUDA WOTE SIO KWA SABABU HATUKUJUI NDIO HUTUVALIE HIVI AU ETI LEO NDIO UNAENDA KUABUDU NDIO HUJISTIRI.

WEWE UNASEMAJE MDAU,TIRIRIKA.
Sipati picha kama ndio kijana amekutuma kupeleka posa na ndio amekufa na kuoza kwa mmoja wa hao vimwana. Ukimkataza ndio kama umemchochea, ukimsema yanaingilia sikio la kuume yanatokea puani. Mkimweka kikaangoni anawatazama kama hawaoni. Usiombe yamkute mwanao!
 
Rejea post yangu utajua nimeuliza nini

Sipati picha kama ndio kijana amekutuma kupeleka posa na ndio amekufa na kuoza kwa mmoja wa hao vimwana. Ukimkataza ndio kama umemchochea, ukimsema yanaingilia sikio la kuume yanatokea puani. Mkimweka kikaangoni anawatazama kama hawaoni. Usiombe yamkute mwanao!
Mara nyingi unakuta anayataka yale anayofanyiwa chumbani yasimpite.
 
Hahahahaaa mkuuu Heshima ni nn? Kwa uelewa wangu naamin heshima inaanza na mwonekano wa nje (super structure) ko kama mtu akiwa hivyo hata heshma ipo
Ndo mpango mzima. Haiwezekani ukawa hujavaa nguo safi na hujachana nywele, kisha tuseme wewe ni mstaarabu, NO WAY. Mwonekano wako ndio kipimo chetu cha kwanza
 
Tusiongopeane bhana, yaani kabisa umevaa kisketi kifupiiiiii hadi tight ya ndani inaonekana kuwa ni nyeupe na ramani ya chupi ileeeeeeeeee kama haitoshi umevaa na ki blauzi chako mwenyewe kinachoonyesha matiti yako kisha uniambie eti oooh usim jaji mtu kwa mavazi yake, hivi ni kweli kabisa au mnatania ........ Basi sawa wewe unajiheshimu je kilichokufanya utuvalie hivi ni kitu gani ???

Ladies-dressed-in-mini-skirts-attending-a-church-service-in-South-Africa.jpg


Kuna hiki nacho cha kiume kimeshapiga kiduku chake kama cha Balotel, kisha katuachia makalio nje kiasi anatuonyesha li boxer lake jeupe hadi linataka kuwa rangi nyeusi kiasi kwamba anafanya kazi ya kuipandisha suruali kama vile mikanda imepigwa marufuku kuvaliwa lakini ukiuliza ooooh usim jaji mtu kwa kumuangalia kweli kabisa ???

Nasema hivi HESHIMA NI YA MUDA WOTE SIO KWA SABABU HATUKUJUI NDIO HUTUVALIE HIVI AU ETI LEO NDIO UNAENDA KUABUDU NDIO HUJISTIRI.

WEWE UNASEMAJE MDAU,TIRIRIKA.
Don't judge a book for corver
 
Nazungumzia mtu unayemuona kwa mara ya kwanza na muonekeno huo niliouzungumzia,mfano barabarani,ofisini na n.k.
Kwa uzoefu wangu wa maisha, kukaa kwangu na wazee na vijana, wema kwa waovu... Siwezi kubet muonekano hata mtu aje uchi wa nyama.
Na umesema Mara ya Kwanza, love at first sight or judging at the first sight?
By the way, akina dada wamependeza.
 
Kwa uzoefu wangu wa maisha, kukaa kwangu na wazee na vijana, wema kwa waovu... Siwezi kubet muonekano hata mtu aje uchi wa nyama.
Na umesema Mara ya Kwanza, love at first sight or judging at the first sight?
By the way, akina dada wamependeza.
Una bet nini kwa wadada waliovaa hivi ????
Ladies-dressed-in-mini-skirts-attending-a-church-service-in-South-Africa.jpg


Lakini kwa hawa hapa wa chini ndio ukisema huwezi ku bet sawa.

0011.jpg
 
Daah, siku moja niko benki kwenye mstari kwenda kwa teller, jamaa aliyekuwa mbele yangu akaenda, kufika pale kainama huku kapiga mlege chupi nje kama jamaa huyu juu kwenye picha; aiseee nikaona wanawake niliokuwa nao kwenye mstari kila mmoja anamwaangalia jamaa alivyotia fora na kisha kunitupia jicho mimi maana nilikuwa mwanaume pekee huko mbele-ilinilazimu nichukue simu yangu na kujifanya niko bize kana kwamba sijamuona yule msela mav*
Vijana wanaounga sera ya cameroun hao.
 
Una bet nini kwa wadada waliovaa hivi ????
Ladies-dressed-in-mini-skirts-attending-a-church-service-in-South-Africa.jpg


Lakini kwa hawa hapa wa chini ndio ukisema huwezi ku bet sawa.

0011.jpg
Wangekuwa wanaume ndio wameweka maungo nje kwa kiwango hicho ingekuwa tatizo?
Dunia ndogo hii, ina aina elfu mia za watu tofauti na jamii yako iliyokufunza kuwa uchi ni kufuru.
Liweke akilini hilo..
 
Back
Top Bottom