Acheni uongo, huwezi kuvaa hivi kisha uniambie una heshima

Acheni uongo, huwezi kuvaa hivi kisha uniambie una heshima

Wangekuwa wanaume ndio wameweka maungo nje kwa kiwango hicho ingekuwa tatizo?
Dunia ndogo hii, ina aina elfu mia za watu tofauti na jamii yako iliyokufunza kuwa uchi ni kufuru.
Liweke akilini hilo..
Kwangu mimi mtu yeyote akivaa hivo sehemu zisizo stahiri hajieshimu tu hata awe nani. Udogo wa dunia haufanyi mwanamme au mwanamke wa TZ atembee na kanguo kafupi titi nje kisha aonekane yuko sawa,ni lazima tutamtilia shaka na akili zake.
 
sagging-pants.jpg
Hahahaaa si avue yote atembee uchi tu
 
Ni kweli,lakini hiyo ni kwa wewe unayemjua (nazungumzia mtu anayemuona kwa mara ya kwanza) lakini huku barabarani ukikutana na aliyejistiri na aliyejiachia yupi utakayemuona ni wa hovyo ????
Hapo hakuna wa hovyo Kila mtu atakuwa ameamua namna ya kuishi
 
Hapo hakuna wa hovyo Kila mtu atakuwa ameamua namna ya kuishi
Kama ni kuchagua namna ya kuishi, hata vibaka na majambawazi ni maisha waliyoamua kuishi ila tunaita ni wa hovyo kwavile si ustaarabu katika jamii.
 
Muda mwng mavaz ya mtu hayamaanish tabia yako..watu huvaa ngu fulan kutokana na sababu zifuatazo
1.mazngira. mavaz ya kanisan ni tofaut na msktin .
2. Hal ya hewa , watu wanaoish sehem zenye joto huvaa nguo tofaut na wanaoish xehem za barid
3. Fashion. , hii n kwa vjana weng huvaa kufuata fashion flan
Unaweza ongeza 7bu zngne
#we need to think behind the box
Yeah we keepers actually think out of the Box ndio maana tunaoa wale wasioenda na Fashion, Environment, weathering issues.. wew Fuata hzo unaita bla blah blah, Na ukisubiri Mume mwema
Akii subiri Mfalme Suleiman arudi labda atahitaj Binti za sayuni elf 2 na wew unaweza kuwepo.. [emoji23]
 
Back
Top Bottom