Acheni uongo, tozo hazijafutwa, zimefichwa tu. Kama zingefutwa jemadari wa tozo asingebaki kitini

Acheni uongo, tozo hazijafutwa, zimefichwa tu. Kama zingefutwa jemadari wa tozo asingebaki kitini

Anajua watanzania siyo wafuatiliaji
Chawa kindakindaki hana tofauti na mbuni kindakindaki, au nasema uongo ndugu zangu!

CCM-kama-mbuni!.jpg
 
Mwigulu bora angenyamaza kimya tu, kuliko kututangazia ujinga kama alivyofanya leo.
 
Mwigulu bora angenyamaza kimya tu, kuliko kututangazia ujinga kama alivyofanya leo.
1663700966597.png

Field Marshall Kamanda Mkuu wa TOZO, karudisha tu majeshi nyuma!​
 
Kwani tuna wabunge? Mbunge anatakiwa awe si mwakilishi tu bali mtetezi wa mwananchi. Kwa bahati mbaya tunalo Bunge linalopitisha sheria kandamizi ya kodi lakini wanahakikisha wao hawalipi kodi hizo.

Badala yake wanajilipa mamilioni kama posho kwa kutimiza wajibu wao bungeni na hiyo ni nje ya mishahara yao minono isiyolipiwa kodi. Ni hawa hawa Mwigulu aliwatumia kupitisha zoezi lake la wizi hivyo wote ni wezi.
Aisee..

Wewe Mag3 una bahati sana kama hujaitwa kwenye ile kamati yao ya kuhojiwa..

Hawa wanaojiita "wabunge". hawataki kabisa kuambiwa halipagi kodi wala kwamba wanapokea maposho makubwa nayo yasiyolipiwa kodi...!
 
Back
Top Bottom