Acheni uongo, tozo hazijafutwa, zimefichwa tu. Kama zingefutwa jemadari wa tozo asingebaki kitini

Mwigulu bora angenyamaza kimya tu, kuliko kututangazia ujinga kama alivyofanya leo.
 
Mwigulu bora angenyamaza kimya tu, kuliko kututangazia ujinga kama alivyofanya leo.

Field Marshall Kamanda Mkuu wa TOZO, karudisha tu majeshi nyuma!​
 
Aisee..

Wewe Mag3 una bahati sana kama hujaitwa kwenye ile kamati yao ya kuhojiwa..

Hawa wanaojiita "wabunge". hawataki kabisa kuambiwa halipagi kodi wala kwamba wanapokea maposho makubwa nayo yasiyolipiwa kodi...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…