wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,544
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari, kwamba magari kama Toyota Passo, Vitz, IST, Starlet, na n.k ni magari ya kike.
Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi, ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa:
A Vehicle Special for females au for males?
Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.
Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume, huu ni ujuha wa hali ya juu.
Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari, kwa lipi?
Ukienda, Japan, US, UK, Germany, Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari, hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.
Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote. Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike, wapi imeandikwa kuwa ni la kike, Ujinga uliokithiri.
Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi, ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa:
A Vehicle Special for females au for males?
Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.
Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume, huu ni ujuha wa hali ya juu.
Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari, kwa lipi?
Ukienda, Japan, US, UK, Germany, Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari, hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.
Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote. Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike, wapi imeandikwa kuwa ni la kike, Ujinga uliokithiri.