Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume

Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume

Siwezi kuendesha ist, au vitz kutokana na urefu wangu futi 6.5 ngoko cz zinagusa mpka kwenye kioo kichwa kinagusa juu ya bodi... Mke wng chukua rav 4, mimi vx naendesha na relax vzr..... Vigari vingine kwa mwanaume ni dharau tu
 
Leo mzushi alikuja na mada ya wasio na kazi wahame dar. Sasa umekuja ww wiseboy na hii mada.....duuuuu leo...
 
Last edited by a moderator:
Utatembeleaje passo bwana kitu volkswagen golf au rav 4 3 doors model
1431031427914.jpg
 
Jamaa alichungulia chini ya gari Jiefong ya mchina akaona dif kubwa. Alipoinuka akasema duh kumbe ndume hii!
 
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.

Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa: A Vehicle Special for female au for male?

Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.

Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.

Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?

Ukienda Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.

Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.

Ni za kike ila hukatazwi kuendeshwa ni kama leo hii dume uvae nguo au viatu vya kike hata kama havikuandikwa vya kike lkn wanaume tutakuona hauko sawa!!...we dunda tu na vitz yako huna haja ya kupanik!! Besides, hiyo vitz yako si inakupeleka hom na kazini kwa wakati??
 
Siwezi kuendesha ist, au vitz kutokana na urefu wangu futi 6.5 ngoko cz zinagusa mpka kwenye kioo kichwa kinagusa juu ya bodi... Mke wng chukua rav 4, mimi vx naendesha na relax vzr..... Vigari vingine kwa mwanaume ni dharau tu

hata bajaj inaonekana hauna
 
Pole sana acha tu zakike zipo mpaka za wanafunzi hako ka vitz mpe mkeo au kahonge kwa mchepuko
 
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.

Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa: A Vehicle Special for female au for male?

Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.

Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.

Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?

Ukienda Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.

Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.

Mkuu Vitz yako ni C au D?
 
Kiuhalisia hakuna gari ya kike wala ya kiume...lakini kimuonekano inaleta heshima kwa mwanaume kutulia ndani ya Land Cruiser au Range Rover kuliko mwanaume wa miraba minne kujificha ndani ya vitz au spacio....ambapo kimuonekano zinawapendeza sana wakiendesha wadada...
 
mbona pikipiki na baiskeli za kike hamna.?ni magari tu,ushamba ma hali ya juu
 
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.

Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa: A Vehicle Special for female au for male?

Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.

Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.

Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?

Ukienda Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.

Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.

Kama wanawake wanazipenda tunaziitaje?
 
Back
Top Bottom