Unafikiri michango yenyewe ni pesa nyingi ni fikira za ujamaa ndo zinazowasumbua, na michango yenyewe husaidia watoto lakini wana lalamika unadhani wana lipa laki hawajazoea kusomesha.
1. Mitihani ijuuma 500@ kwa kila mtihani.
2. Shilling 300 za uji kila siku.
3. Mchango wa 1000 kwa study tour kuenda kiwandani.
4.mchango wa 200 ya karatasi na kuchapisha mitihani
5. Mchango wa 500 kwa mwezi ya ulinzi.
6.Tuition ya masomo ya ziada ya hesabu 500 kila mwanafunzi kwa madarasa ya mttihani std 4 na std 7.
Hela ndogo lakini kelele nyingi njooni huku private mujinee ada 3m inalipwa kwa awamu 3. Usafiri 200k kwa mhula tour100k tunalipa vizuri na bado tuna smile. "If you think education is expensive try ignorance"
1. Mitihani ijuuma 500@ kwa kila mtihani.
2. Shilling 300 za uji kila siku.
3. Mchango wa 1000 kwa study tour kuenda kiwandani.
4.mchango wa 200 ya karatasi na kuchapisha mitihani
5. Mchango wa 500 kwa mwezi ya ulinzi.
6.Tuition ya masomo ya ziada ya hesabu 500 kila mwanafunzi kwa madarasa ya mttihani std 4 na std 7.
Hela ndogo lakini kelele nyingi njooni huku private mujinee ada 3m inalipwa kwa awamu 3. Usafiri 200k kwa mhula tour100k tunalipa vizuri na bado tuna smile. "If you think education is expensive try ignorance"