Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Shauri yao kulazimisha mambo.Mbona hapo awali sisi tulisoma bila tuisheni?Tulifundishwa na kupewa majaribio ya wiki au shule kwa shule bila gharama/michango?Walimu wakae wajue,kama ambavyo wanalalamika mishahara yao haiwatoshi ndivyo wengine wapo hivyohivyo.Tabia ya kutaka kuvuna tu bila kazi yoyote ni uhuni mtupu.Mimi nimechoka, na mwalimu akimpiga kijana wangu namvaa, potelea nairobi
Mkuu labda uanzishe shule yako ila kupigo kipo pale pale mtoto mpe hiyo pesa kwa usalama wake.....otherwise ataumia tu.Ukimpiga nakuvaa mtaani
Bado anamalizia sala ya malipizi kumalizia toba ya kuwasimanga walimu.My wii Mpwayungu Village njoo utusagie kunguni π
Na hapo sio kwamba walimu wanakula hizo pesa mfano hela ya mtihani lazima iwepo maana serikali haitoi hela ya mitihani ya mwisho wa wiki na kwa maendeleo ya watoto wetu mitihani hio ni muhimu. Unakuta michango haizidi hata 60k kwa muhula ila mtu analalamika basi asisomeshe. Mtu badala alalamikie kupanda kwa gharama za bidhaa na hiduma analalamika michango ya shule ni ujinga mtupu.Unafikiri michango yenyewe ni pesa nyingi ni fikira za ujamaa ndo zinazo wasumbua, na michango yenyewe husaidia watoto lakini wana lalamika unadhani wana lipa laki hawajazoea kusomesha.
1. Mitihani ijuuma 500@ kwa kila mtihani.
2. Shilling 300 za uji kila siku.
3. Mchango wa 1000 kwa study tour kuenda kiwandani.
4.mchango wa 200 ya karatasi na kuchapisha mitihani
5. Mchango wa 500 kwa mwezi ya ulinzi.
6.Tuition ya masomo ya ziada ya hesabu 500 kila mwanafunzi kwa madarasa ya mttihani std 4 na std 7.
Hela ndogo lakini kelele nyingi njooni huku private mujinee ada 3m inalipwa kwa awamu 3. Usafiri 200k kwa mhula tour100k tunalipa vizuri na bado tuna smile. "If you think education is expensive try ignorance"
Mtaani unakua umevunja sheria na utafungwa kizembe sanaUkimpiga nakuvaa mtaani
Ni mazoea mabaya capitation ya serkali ni ndogo kiasi hata some time chaki huisha, hata kupata kalamu nyekundu mualimu hujinunulia, ila hao wazazi pesa ya vicoba, bar misiba harusi wanazo. Ni ujinga wa hali ya juu.Na hapo sio kwamba walimu wanakula hizo pesa mfano hela ya mtihani lazima iwepo maana serikali haitoi hela ya mitihani ya mwisho wa wiki na kwa maendeleo ya watoto wetu mitihani hio ni muhimu. Unakuta michango haizidi hata 60k kwa muhula ila mtu analalamika basi asisomeshe. Mtu badala alalamikie kupanda kwa gharama za bidhaa na hiduma analalamika michango ya shule ni ujinga mtupu.
Kwani wataniona π π π π πππMtaani unakua umevunja sheria na utafungwa kizembe sana
Na kwa hali hii ndio maana hatuwezi badili hata aina ya viongozi tulio nao kwakua elimu kwetu ni ugomviNi mazoea mabaya capitation ya serkali ni ndogo kiasi hata some time chaki huisha, hata kupata kalamu nyekundu mualimu hujinunulia, ila hao wazazi pesa ya vicoba, bar misiba harusi wanazo. Ni ujinga wa hali ya juu.
Haya invisible manKwani wataniona π π π π πππ
waache kutoa mitihani. Twende hivyo hivyo mpaka mtihani darasa la saba. Wewe mamlaka ya kuchangisha watu unayatoa wapi?Na hapo sio kwamba walimu wanakula hizo pesa mfano hela ya mtihani lazima iwepo maana serikali haitoi hela ya mitihani ya mwisho wa wiki na kwa maendeleo ya watoto wetu mitihani hio ni muhimu. Unakuta michango haizidi hata 60k kwa muhula ila mtu analalamika basi asisomeshe. Mtu badala alalamikie kupanda kwa gharama za bidhaa na hiduma analalamika michango ya shule ni ujinga mtupu.
Mzee remains Incognito!Haya invisible man
Mhh bila hio mitihani mtoto akifika darasa la sab ani kichekesho na viongozi wanalijua hilo ndio maana wakwao wanajitahidi wasome shule nzuri wakijua kabisa kayumba hakuna jipyawaache kutoa mitihani. Twende hivyo hivyo mpaka mtihani darasa la saba. Wewe mamlaka ya kuchangisha watu unayatoa wapi?
Look, let it be a statutory requirement that we pay school fees, not the way these teachers are doing it! Mbona private tunalipa? Waziri atoe tamko la kisheria, kuwa primary education ahs to be paid for!
Kinachoniudhi ni hawa walimu kujichukulia madaraka ya kutoza mitihani. Serikali iseme kuwa tulipe ada ya primary school, we will pay, siyo huu uhuni uhuni!Ni mazoea mabaya capitation ya serkali ni ndogo kiasi hata some time chaki huisha, hata kupata kalamu nyekundu mualimu hujinunulia, ila hao wazazi pesa ya vicoba, bar misiba harusi wanazo. Ni ujinga wa hali ya juu.
Kama vitu vidogo kwanini usifanye bure tu?Kuna kuchapisha mitihani na kusahisha mtihani lazima tuchangie gharama, ila wazazi wana kera kwa kulalamika vitu vidogo vidogo.
Waone wazazi haohao siku za sikukuu. Wanajiachia vilivyo.The massage is clear Try ignorance if you think education is expensive....hao wazazi masikini za kutongoza pombe gest zina patikana ila 300 ya uji wa mtoto wake inakosekana loh,
Mimi binafsi sidhani ni umasikini ndo unao sababisha kutotaka kuchangia watoto wao shule, ni kukosa utashi wa elimu na kutojua kupangilia .atumizi yao, kuna mzazi moja hapa namlipa kwa kazi zake sio chini ya 150k kwa wiki ila sio la ajabu kukuta watoto wake hawajaenda shule kwasabb ya kukosa daftari la sh 700 tu.Waone wazazi haohao siku za sikukuu. Wanajiachia vilivyo.
Tatizo hawawezi malengo ya mapato na matumizi.
Kuna mnufaika wa tasaf mmoja, alipopewa hela ya kwanza, alinunua kuku. Walizaliana akauza akanunua nguruwe jike mmoja kwa 50,000/=.
Sahizi anamiliki ng'ombe watatu, nguruwe wawili na kuku karibu 60 hivi.