Acheni walimu wapate hivyo vipesa vidogo, acheni kulalamika tumewachoka

Mimi nimechoka, na mwalimu akimpiga kijana wangu namvaa, potelea nairobi
Shauri yao kulazimisha mambo.Mbona hapo awali sisi tulisoma bila tuisheni?Tulifundishwa na kupewa majaribio ya wiki au shule kwa shule bila gharama/michango?Walimu wakae wajue,kama ambavyo wanalalamika mishahara yao haiwatoshi ndivyo wengine wapo hivyohivyo.Tabia ya kutaka kuvuna tu bila kazi yoyote ni uhuni mtupu.
 
Na hapo sio kwamba walimu wanakula hizo pesa mfano hela ya mtihani lazima iwepo maana serikali haitoi hela ya mitihani ya mwisho wa wiki na kwa maendeleo ya watoto wetu mitihani hio ni muhimu. Unakuta michango haizidi hata 60k kwa muhula ila mtu analalamika basi asisomeshe. Mtu badala alalamikie kupanda kwa gharama za bidhaa na hiduma analalamika michango ya shule ni ujinga mtupu.
 
Ni mazoea mabaya capitation ya serkali ni ndogo kiasi hata some time chaki huisha, hata kupata kalamu nyekundu mualimu hujinunulia, ila hao wazazi pesa ya vicoba, bar misiba harusi wanazo. Ni ujinga wa hali ya juu.
 
Ni mazoea mabaya capitation ya serkali ni ndogo kiasi hata some time chaki huisha, hata kupata kalamu nyekundu mualimu hujinunulia, ila hao wazazi pesa ya vicoba, bar misiba harusi wanazo. Ni ujinga wa hali ya juu.
Na kwa hali hii ndio maana hatuwezi badili hata aina ya viongozi tulio nao kwakua elimu kwetu ni ugomvi
 
waache kutoa mitihani. Twende hivyo hivyo mpaka mtihani darasa la saba. Wewe mamlaka ya kuchangisha watu unayatoa wapi?
Look, let it be a statutory requirement that we pay school fees, not the way these teachers are doing it! Mbona private tunalipa? Waziri atoe tamko la kisheria, kuwa primary education ahs to be paid for!
 
Mhh bila hio mitihani mtoto akifika darasa la sab ani kichekesho na viongozi wanalijua hilo ndio maana wakwao wanajitahidi wasome shule nzuri wakijua kabisa kayumba hakuna jipya
 
Ni mazoea mabaya capitation ya serkali ni ndogo kiasi hata some time chaki huisha, hata kupata kalamu nyekundu mualimu hujinunulia, ila hao wazazi pesa ya vicoba, bar misiba harusi wanazo. Ni ujinga wa hali ya juu.
Kinachoniudhi ni hawa walimu kujichukulia madaraka ya kutoza mitihani. Serikali iseme kuwa tulipe ada ya primary school, we will pay, siyo huu uhuni uhuni!
 
The massage is clear Try ignorance if you think education is expensive....hao wazazi masikini za kutongoza pombe gest zina patikana ila 300 ya uji wa mtoto wake inakosekana loh,
Waone wazazi haohao siku za sikukuu. Wanajiachia vilivyo.

Tatizo hawawezi malengo ya mapato na matumizi.

Kuna mnufaika wa tasaf mmoja, alipopewa hela ya kwanza, alinunua kuku. Walizaliana akauza akanunua nguruwe jike mmoja kwa 50,000/=.

Sahizi anamiliki ng'ombe watatu, nguruwe wawili na kuku karibu 60 hivi.
 
Mimi binafsi sidhani ni umasikini ndo unao sababisha kutotaka kuchangia watoto wao shule, ni kukosa utashi wa elimu na kutojua kupangilia .atumizi yao, kuna mzazi moja hapa namlipa kwa kazi zake sio chini ya 150k kwa wiki ila sio la ajabu kukuta watoto wake hawajaenda shule kwasabb ya kukosa daftari la sh 700 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…