ACT: Viongozi wetu waliozuiwa kuingia Angola wamerejea Nchini, tunasikitishwa na ukimya wa Serikali ya Tanzania

Na kwambia hivi hujui lolote na kama unajua ni unafiki wako. Huwo ni ushirikiano na ccm kuhujumiwa kutokuingia huko. Kwanini hawajazuiwa sehem nyingine wakati Angola haijpakana na Tanzania?
CCM haina ofisi Angola,
na wala haifahamu kama kulikua na jambo hilo lisilo halali kwa mujibu wa mamlaka za angola?

kwahiyo wale waliotoka Africa kusini, msumbiji na ulaya walizuiwa na EFF ya malema sio gentleman?

au uko addicted na CCM kuliko kubeti right?πŸ’
 
Mimi na wewe nani yuko addicted?

Wewe unapolala na mumeo unaiwaza chadema badala ya ccm mada zako nyingi unazungumzia chadema it means uko addicted nayo.

nasema tena ccm ndio waliofitini hayo.
 
Mimi na wewe nani yuko addicted?

Wewe unapolala na mumeo unaiwaza chadema badala ya ccm mada zako nyingi unazungumzia chadema it means uko addicted nayo.

nasema tena ccm ndio waliofitini hayo.
jikite kwenye mada bila mihemko wala kubabaika gentleman,

Angola ni Taifa huru, iweje litawaliwe na CCM ya Tanzania na kuiamulia mambo yake ya kiusalama na kisiasa, ndani na nje ya nchi hiyo?

haiwezekani watu wasio na uhalali wa kuwepo ndani ya mamlaka za Angola waachwe wazure tu bila taarifa wala idhini ya nchi hiyo?

ni muhimu watu kuzingatia na kujua ustaarabu na sheria za kimataifa unapotaka kuinga na kufanya jambo Fulani ndani ya nchi huru πŸ’
 
Ukichoandika kingeleta maana kama ungesema sababu ya kuzuiwa.
 
Hi Tlaatlaah katika watu wajanja na wenye akili Dar na wewe unajihesabu? Utafanya nihame Dar. Kwanza niambie, Angola wamefuta Watanzania kwenda kule kwa visa?
 
Hi Tlaatlaah katika watu wajanja na wenye akili Dar na wewe unajihesabu? Utafanya nihame Dar. Kwanza niambie, Angola wamefuta Watanzania kwenda kule kwa visa?
kwahiyo gentleman,
unadhani ni waTanzania pekee ndio waliosoteshwa pale Angola airport kama vibaka?, au huna taarifa kwamba walikuepo hadi marais wastaafu wa nchi mbalimbali na mawaziri pia?

Rais Lorenzo wa Angola ni mwenyekiti wa AU na ndie mpatanishi mwenyeji wa mgogoro wa DRC kati ya serikali na m23,

Rais hakuewepo nchini mwake, halafu mamlaka ziwaruhusu watu wa mataifa mbalimbali ambao hata haikujulikana wanakwenda kufanya nini nchini mwake, kweli ?


unawaruhusu kivipi kwa mfano waingie nchini? hakuna nchi ingerushu jambo kama hilo gentleman πŸ’
 
Upinzani hawana imani na serikali ya CCM ila wakipatwa na shida wanaomba msaada πŸ˜‚
 
kwamba serikali ya Tanazania ianze kupiga mayowe kwasabb viongozi wa ACT WAZALENDO kudhibitiwa Angola kwa kuingia nchini humo kinyume na sheria za nchi husika au?πŸ’
 
Wakati wanaondoka waliiaga serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…