ACT - Wazalendo badala ya kupambana kupanda, wanatamani CHADEMA ishuke ili wao waonekane juu

ACT - Wazalendo badala ya kupambana kupanda, wanatamani CHADEMA ishuke ili wao waonekane juu

Kinachowaponza chadema ni kishindwa kujua wanapigania nini?

Awali wananchi waliwaelewa walipokuja na ajenda ya ufisadi akaingi JPM na hyo ajenda, kawabana wote mafisadi,badala ya kumuunga mkono,wakabaki wanawakingia mafisadi kifua, na kuanza kumponda JPM

Haya Sasa, wataingia Kwa wanananchi na ajenda gani wawaelewe km hapo mwanzo?

Infact hawana Tena mvuto,kwani nao wameshaonekana wana ajenda mbaya nyuma ya pazia.

Hata kipindi Cha Corona,wakawa wanalazimisha Watu wafungiwe ndani!!

Hapo ndipo uzalendo wao ulizidi kuonekana ni zero.

Maelezo ni mengi, heri CCM waendelee tu,Hadi chama kingine chenye Nia njema na nchi hii kitakapo anzishwa

Acha hizo. Magufuri alipambana na ufisadi gani wakati mafisadi walikuwa wanachiwa baada ya kukiri kosa na kutoa pesa kidogo. Ufisadi mwingi sema alificha kwa kutumia vyombo vya habari.

Kitu ambacho lazima ukifahamu Ni kwamba Magufuri alitumia Sana ajenda za CHADEMA Ili kuiua. Yeye alidhani kufanya hivyo ata iua CHADEMA na aliposhindwa mwisho wa siku akaanza kutumia ubabe, Kama kupoteza watu na kumimina risasi ovyo.
 
Chadema haikufika hapo ilipo kwa kutamani NCCR, CUF zishuke zife ili wao wawe juu bali walipambana na CCM hadi wakafika walipo. ACT wakitegemea CCM iwapandishe juu kwa kuihujumu Chadema hawatafika popote.

Lengo la CCM siyo kuipandisha ACT bali kuitumia ACT chini ya Zitto kuihujumu Chadema, chama kinachoonekana kuwa na msimamo kama iliyokuwa CUF ya Maalimu Seif ILI kukifanya kuwa kama CUF ya Lipumba. Baada ya CCM kufanikiwa lengo lake ACT itatupwa na kubaki kama ilivyo CUF na Zitto atadharaulika kama walivyo Lipumba na Mrema.

Zitto asijenge ACT kwa kutegemea mgongo wa Chadema na CUF akijenge chama chake kwa misingi waliyojiwekea kama chama. Chadema ina misingi yake akifata misingi ya Chadema kujenga chama chake atapotea.

“Huwezi kuwa tajiri kwa kuombea tajiri afirisike”.
Mchawi zito zuberi anajulikana kwa undumilakuwili katika tawala zote!
 
Hivi kati ya Chadema na ACT ni nani anaefatilia sana mambo ya mwenzake?

CHADEMA ni chama kinachobomolewa na BAVICHA maana hayajielewi

Wewe unadhani Nani mchokozi?. ACT ndio wachokozi. Wao ndio walianza kuingilia Mambo ya chama kingine kwa kujiona wajuaji Sana kumbe hawana jema.

Wewe kiongozi wa chama kingine unamuombeaje msamaha Mwenyekiti Mbowe mbele ya Rais wakati kesi ipo mahakamani na mawakili wetu wanaendelea kupambana?. Halafu Babu duni anakuja kudai kwamba CHADEMA haiitaki Mbowe atoke jela. Wewe unaona hizo ni kauli za maana.

Halafu CHADEMA Ina nini Cha kufuatilia kwa ACT. Chama Cha juzi kilichopata uhai kupitia kwa Maalim Seif. Acha hizo, chama ambacho kilipata kura elfu 90 nchi nzima. Be serious.
 
Huu ndio ukweli ambao wengi hawaujui. Nguvu ya upinzani Zanzibar ilimzunguka Maalim Seif. Kwa Sasa sioni kiongozi mwenye ushawishi wa Maalim Zanzibar.
Kuna mmoja kule twita anajiita sijui Masibo.

Alisema act pemba inakubalika nikamwambia mm nimeshamfuata maalim popote alipokuwepo kwa pale pba ikiwa atakuwapo kwenye mikutano yake kwahiyo siasa za pba 98% ya wananchi walimkubali maalim kwa misimamo yake na mapenzi yake kwa wananchi kwahiyo leo maalim hayupo hiyo ajenda yakusema act inakubalika usijidanganye wapemba ni tofauti kabisa na wasehemu nyengine kisiasa.

Kwahiyo kwa vile watu walimfuata maalim seif baada ya kufa kwa cuf na kuingia act hilo kwa vile amefariki lazima ujijenge kabisa hawapendi unafiki kabisa act itapotea kwa njia mbaya sana.

Leo hamad massoud amehama nakurudi cuf angalia mziki wake.

Act haikujijenga pemba bali nikwa msaada wa maamuzi ya seif sharifu.

Kitakachowasaidia ni nguvu ya vyombo vya dola kupata msaada huwo lakni sikwakuishinda ccm kwa kura.

Nawaonea huruma sana Act.
 
Kinachowaponza chadema ni kishindwa kujua wanapigania nini?

Awali wananchi waliwaelewa walipokuja na ajenda ya ufisadi akaingi JPM na hyo ajenda, kawabana wote mafisadi,badala ya kumuunga mkono,wakabaki wanawakingia mafisadi kifua, na kuanza kumponda JPM

Haya Sasa, wataingia Kwa wanananchi na ajenda gani wawaelewe km hapo mwanzo?

Infact hawana Tena mvuto,kwani nao wameshaonekana wana ajenda mbaya nyuma ya pazia.

Hata kipindi Cha Corona,wakawa wanalazimisha Watu wafungiwe ndani!!

Hapo ndipo uzalendo wao ulizidi kuonekana ni zero.

Maelezo ni mengi, heri CCM waendelee tu,Hadi chama kingine chenye Nia njema na nchi hii kitakapo anzishwa
Kama haina mvuto ipitishwe katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Mnaogopa nini sasa kitu hakina mvuto
 
Kinachowaponza chadema ni kishindwa kujua wanapigania nini?

Awali wananchi waliwaelewa walipokuja na ajenda ya ufisadi akaingi JPM na hyo ajenda, kawabana wote mafisadi,badala ya kumuunga mkono,wakabaki wanawakingia mafisadi kifua, na kuanza kumponda JPM

Haya Sasa, wataingia Kwa wanananchi na ajenda gani wawaelewe km hapo mwanzo?

Infact hawana Tena mvuto,kwani nao wameshaonekana wana ajenda mbaya nyuma ya pazia.

Hata kipindi Cha Corona,wakawa wanalazimisha Watu wafungiwe ndani!!

Hapo ndipo uzalendo wao ulizidi kuonekana ni zero.

Maelezo ni mengi, heri CCM waendelee tu,Hadi chama kingine chenye Nia njema na nchi hii kitakapo anzishwa
Mnajidanganya saaaana. Sijui huko uliko lkn wananchi wote ukiacha wana ccm wanajua kuwa chama makini ni Chadema pekee. Andaeni mazingira ya uchaguzi huru muone matokeo.
 
Chadema haikufika hapo ilipo kwa kutamani NCCR, CUF zishuke zife ili wao wawe juu bali walipambana na CCM hadi wakafika walipo. ACT wakitegemea CCM iwapandishe juu kwa kuihujumu Chadema hawatafika popote
1641207295854.png
TATIZO LENU CHADEMA NI HILI MNATUONA SISI WAJINGA

2878995_images_9.jpeg
 
Kinachowaponza chadema ni kishindwa kujua wanapigania nini?

Awali wananchi waliwaelewa walipokuja na ajenda ya ufisadi akaingi JPM na hyo ajenda, kawabana wote mafisadi,badala ya kumuunga mkono,wakabaki wanawakingia mafisadi kifua, na kuanza kumponda JPM

Haya Sasa, wataingia Kwa wanananchi na ajenda gani wawaelewe km hapo mwanzo?

Infact hawana Tena mvuto,kwani nao wameshaonekana wana ajenda mbaya nyuma ya pazia.

Hata kipindi Cha Corona,wakawa wanalazimisha Watu wafungiwe ndani!!

Hapo ndipo uzalendo wao ulizidi kuonekana ni zero.

Maelezo ni mengi, heri CCM waendelee tu,Hadi chama kingine chenye Nia njema na nchi hii kitakapo anzishwa
Mbona wewe huna mvuto hapo mtaani kama mademu wenzio?
 
Kwani mwanzilishi wa ACT Wazalendo ni nani? Lengo lake lilikua lipi? Ukilijua hilo, wala haitakupa shida kujua why ACT na Zitto wanafanya hayo wanayo yafanya.
 
ACT ni mkakati wa CCM kuidhibiti CHADEMA mpinzani wa kweli, ili waendelee kubaki madarakani.
ACT ni mkono mwngine wa CCM kama ilivyo Polisi, time ya uchaguzi na mahakama
 
Question from Mnyika to TCD Zitto:

“Why do you proclaim that the conference "will be attended by all parties" while even the invitation letters have not been received by respective parties and consequently confirmations have not been made hitherto?”

Respond from Zitto:

“I am a leader. Properly groomed. I desist from responding to you. However parties which won’t attend are free to do so as it is within their constitutional rights. The invitation is open to all registered political parties, CSOs and religious leaders”.

Mh! By these?

IMG_20220303_142521_385.jpg



Somebody else will wonder:

"Is it by accident that he reached out unilaterally to give assurances that all parties will be in attendance?"

Yet another will ask:

"who allowed him to use other parties' emblems without their consent?"

His answers will be greatly appreciated.
 
Kinachowaponza chadema ni kishindwa kujua wanapigania nini?

Awali wananchi waliwaelewa walipokuja na ajenda ya ufisadi akaingi JPM na hyo ajenda, kawabana wote mafisadi,badala ya kumuunga mkono,wakabaki wanawakingia mafisadi kifua, na kuanza kumponda JPM

Haya Sasa, wataingia Kwa wanananchi na ajenda gani wawaelewe km hapo mwanzo?

Infact hawana Tena mvuto,kwani nao wameshaonekana wana ajenda mbaya nyuma ya pazia.

Hata kipindi Cha Corona,wakawa wanalazimisha Watu wafungiwe ndani!!

Hapo ndipo uzalendo wao ulizidi kuonekana ni zero.

Maelezo ni mengi, heri CCM waendelee tu,Hadi chama kingine chenye Nia njema na nchi hii kitakapo anzishwa
Wana CCM huwa mnafurahisha sana, mnadai hawana mvuto sasa kwanini msiruhusu mikutano ili tuone wakiabika kwa kukosa wananchi kwenye mikutano yao?
 
Chadema haikufika hapo ilipo kwa kutamani NCCR, CUF zishuke zife ili wao wawe juu bali walipambana na CCM hadi wakafika walipo. ACT wakitegemea CCM iwapandishe juu kwa kuihujumu Chadema hawatafika popote.

Lengo la CCM siyo kuipandisha ACT bali kuitumia ACT chini ya Zitto kuihujumu Chadema, chama kinachoonekana kuwa na msimamo kama iliyokuwa CUF ya Maalimu Seif ILI kukifanya kuwa kama CUF ya Lipumba. Baada ya CCM kufanikiwa lengo lake ACT itatupwa na kubaki kama ilivyo CUF na Zitto atadharaulika kama walivyo Lipumba na Mrema.

Zitto asijenge ACT kwa kutegemea mgongo wa Chadema na CUF akijenge chama chake kwa misingi waliyojiwekea kama chama. Chadema ina misingi yake akifata misingi ya Chadema kujenga chama chake atapotea.

“Huwezi kuwa tajiri kwa kuombea tajiri afirisike”.

Zitto ni mchawi hana maana anatumika vibaya.
 
Kinachowaponza chadema ni kishindwa kujua wanapigania nini?

Awali wananchi waliwaelewa walipokuja na ajenda ya ufisadi akaingi JPM na hyo ajenda, kawabana wote mafisadi,badala ya kumuunga mkono,wakabaki wanawakingia mafisadi kifua, na kuanza kumponda JPM

Haya Sasa, wataingia Kwa wanananchi na ajenda gani wawaelewe km hapo mwanzo?

Infact hawana Tena mvuto,kwani nao wameshaonekana wana ajenda mbaya nyuma ya pazia.

Hata kipindi Cha Corona,wakawa wanalazimisha Watu wafungiwe ndani!!

Hapo ndipo uzalendo wao ulizidi kuonekana ni zero.

Maelezo ni mengi, heri CCM waendelee tu,Hadi chama kingine chenye Nia njema na nchi hii kitakapo anzishwa
Ndugu, kwa kweli sio siri kuwa CHADEMA yawapa hofu sana.
Uwezo, ushawishi wenu kwa wananchi ni duni mno, ndio maana mwategemea SANA maPolisi waizuie CHADEMA hata kupumua. Badala ya kutimiza majukumu yao ya kikatiba ya kulinda usalama wa raia, wamekuwa ni kuwavizia CHADEMA, wizi wa kura,ujambazi, uuaji mpaka vituoni mwao na upishi wa kesi ambako nako wanatia aibu kubwa, wameshindwa. Sijui wewe na nduguyo mwandishi ngulinjaa mtamlilia nani?
 
Question from Mnyika to TCD Zitto:

“Why do you proclaim that the conference "will be attended by all parties" while even the invitation letters have not been received by respective parties and consequently confirmations have not been made hitherto?”

Respond from Zitto:

“I am a leader. Properly groomed. I desist from responding to you. However parties which won’t attend are free to do so as it is within their constitutional rights. The invitation is open to all registered political parties, CSOs and religious leaders”.
Zitto hapa ameonyesha udhaifu. Yeye angekubali kosa na kutoa tangazo jipya ambalo lingesema kuwa " the meeting will hopefully be attended by most parties" or "it is expected all parties will attend the meeting" au angeondoa kila kitu na kusema tu " the invitation is open to all registered political parties.....". Badala yake anajigamba tu kuwa yeye ni leader aliyekuwa properly groomed. A properly groomed leader haogopi kukiri kuwa alikosea.

Amandla...
 
Chadema haikufika hapo ilipo kwa kutamani NCCR, CUF zishuke zife ili wao wawe juu bali walipambana na CCM hadi wakafika walipo. ACT wakitegemea CCM iwapandishe juu kwa kuihujumu Chadema hawatafika popote.

Lengo la CCM siyo kuipandisha ACT bali kuitumia ACT chini ya Zitto kuihujumu Chadema, chama kinachoonekana kuwa na msimamo kama iliyokuwa CUF ya Maalimu Seif ILI kukifanya kuwa kama CUF ya Lipumba. Baada ya CCM kufanikiwa lengo lake ACT itatupwa na kubaki kama ilivyo CUF na Zitto atadharaulika kama walivyo Lipumba na Mrema.

Zitto asijenge ACT kwa kutegemea mgongo wa Chadema na CUF akijenge chama chake kwa misingi waliyojiwekea kama chama. Chadema ina misingi yake akifata misingi ya Chadema kujenga chama chake atapotea.

“Huwezi kuwa tajiri kwa kuombea tajiri afirisike”.
Kwa style ya Zitto hawawezi kabisa kuipiku CHADEMA. Kwanza unajua ACT ipo hapa dar, Zanzibar, kigoma, labda kidogo na Mwanza .

Hata hivyo tunaongelea kwamba ACT hata huko ambako ipo bado ni kidogo sana na bado wachanga mno.

Sasa style ya kuongoza ya bwana Zitto ni ya ujanja ujanja na ubishi flani pamoja ana akili ya kuwapanga watu wakae Frontline ili yeye aweze kukaa ofisini kupanga namna ya kupiga mchuzi na mtu asimstukie.

Tusubiri 2025 haya maneno yangu mtayarusia, Ila wengi aliowaweka kwenye uongozi hawakubaliki na watu au wanachama ambao aliwavuna kutoka CUF walioamua kujiunga ACT kumfuata Marehemu Maalim.

Mtifuano umeanza na bado watatifuana maana kile cheo walichowekewa Cha umoja wa kotaifa Cha makamu wa pili wa Rais kimewekwa mahususi ili wavurugane wasiwaze kuchukua nchi Bali kula na kukaa kimya.

That being the case watamalizana kwelikweli na Zitto mpenda madaraka kule hawezi kugusa anatamani angekuwa mzanzibari aonje umakamu wa Rais Ila ndio hivyo.

His days a counted
 
Zitto asijenge ACT kwa kutegemea mgongo wa Chadema na CUF akijenge chama chake kwa misingi waliyojiwekea kama chama. Chadema ina misingi yake akifata misingi ya Chadema kujenga chama chake atapotea.

“Huwezi kuwa tajiri kwa kuombea tajiri afirisike”.
ChaggaDema mbina mnaweweseka sana na ACT, Wakati ACT wala hawana habari nyie, endeleeni kuchanga pesa waacheni Act na chama chao.
 
Hivi Ufipa mlipomfukuza Zitto mlitegemea arudi Kigoma kulima nyanya
 
Back
Top Bottom