ACT - Wazalendo badala ya kupambana kupanda, wanatamani CHADEMA ishuke ili wao waonekane juu

Chadema haikufika hapo ilipo kwa kutamani NCCR, CUF zishuke zife ili wao wawe juu bali walipambana na CCM hadi wakafika walipo. ACT wakitegemea CCM iwapandishe juu kwa kuihujumu Chadema hawatafika popote
Mkuu,agizo soda baridi nakuja kulipa.
 
Chadema haikufika hapo ilipo kwa kutamani NCCR, CUF zishuke zife ili wao wawe juu bali walipambana na CCM hadi wakafika walipo. ACT wakitegemea CCM iwapandishe juu kwa kuihujumu Chadema hawatafika popote
Hakuna chama kichokuwa juu kikashuka kwa sababu ya migogoro ndani ya Chama chenyewe, kikakosa kudai ni mchongo wa CCM. Meema aliponyang'anywa NCCR Mageuzi pale Tanga alidai wanatumiwa na CCM. Hali kadharika CUF walidai vivyohivyo na sasa Chadema. Vyama vya upinzani visipoimarisha Demokrasia, mifumo ya utendaji, na sera za kusimamia ndani ya chama vitaendelea kupumbaza wapenzi na wanachama kuwa kila mgogoro ni mkono wa CCM. CCM inayozidi kuimarika kila mgogoro ktk upinzani inapojitokeza.
 
[emoji419]Umesahau pia pale walipokuwa wakiwasaidia MABEBERU walipokamata ndege ya ATCL Kule Afrika Kusini.
 
Chama Puppet,,
 
ACT iko mitandaoni zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…