Tetesi: ACT Wazalendo Kigoma Mjini kwawaka moto

Tetesi: ACT Wazalendo Kigoma Mjini kwawaka moto

NTWA MWIKEMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
734
Reaction score
366
Moto umewaka ndani ya ACT Wazalendo Kigoma kutokana na Azma ya Madiwani wote kumkataa Meya wa Manispaa . Usiku wa kuamkia tarehe 16.01.2020 wamejikuta viongozi wa kitaifa wakishindwa kuyamaliza na kusababisha kuendelea kufukuta mpka walilazimika kutumia Mishumaa ili kuendelea kutafuta suluhisho la mgogoro wa madiwani wake.

Mkuu wa chama atishia kuwafukuza baadhi ya Madiwani pamoja na baadhi ya wajumbe wa vikao vya maamuzi ya Chama ngazi ya jimbo na mkoa wanaowaunga mkono madiwani ambao hawaridhishwi na mwenendo wa Meya.

Madiwani Wamepanga kumsurubu wakimwita Wamechoka kufanya kazi na Wazee wa 10% , na Wamejipanga asipotolewa Meya Watamwachia chama chake Waendelee na Madili yao.

Hili Jeshi la Polisi Kigoma lichukue tahadhari kubwa Moto unaweza ukawaka tarehe 17.01.2020 Mwanga Centre. Ngumi zinaweza kupigwa.

Note Hali si shwari, Zitto anatuhumiwa amekula peke yake mshiko waliokubaliana wagawane Milioni 10 kila mmoja. Inasemekana Meya alikatiwa M50
 
Hali si Hali Kikao kinaendelea kwenye Ofisi za ACT Wazalendo Kigoma Ujiji
 
Ayatollah yupo hapa Dar anashughulikia masuala ya kitaifa! Ngoja Maalim Seif aje huko muafaka utapatikana tu, komaeni watani zangu.
 
Yataisha tu hayo kwasababu chama hicho kina Mshauri mahiri katika siasa, Maalim Seif Sharif Hama; atawaambia tu "wakisema suuuh, nyie semeni swaaah"
 
Kwenye madumbuzi ya fedha za chama Zitto na Mbowe wanafanana!
Hakuna labda wao Madiwani hawajamuelewa ZZK. Hizo pesa atakuwa bado anazifanyia "Feasibility Study" au upembuzi hakinifu badae mambo ya kupeana yataanza wasubiri tu!!!
 
Hakuna labda wao Madiwani hawajamuelewa ZZK. Hizo pesa atakuwa bado anazifanyia "Feasibility Study" au upembuzi hakinifu badae mambo ya kupeana yataanza wasubiri tu!!!
Amezikabidhi hizo kwa Mzanziber na kiasi kidogo kwa Bi Mjane na Kakipande kakapeleka kwa Kalyango, Luhava, Tatu ila Wengine wamesimika. Zitto amebanwa kila Kona. Atoe Milioni 10 Kabla Council haijavunjwa. Takukuru mulikeni hao, na kuna Milioni 8 amechukua kwa Li
 
Back
Top Bottom