NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 366
- Thread starter
- #41
ACT Wazalendo kunanuka Kumeoza hawa nyang'au Wakipewa nchi si Wataikabidhi kwa Bhajeremani, ๐๐๐๐๐Tujadili rushwa inayotembea huko Kigoma ujiji mitaa ya Bakwata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACT Wazalendo kunanuka Kumeoza hawa nyang'au Wakipewa nchi si Wataikabidhi kwa Bhajeremani, ๐๐๐๐๐Tujadili rushwa inayotembea huko Kigoma ujiji mitaa ya Bakwata
Wewe hata wakikuomba huwezi kuwachagua maana akili yako ishatekwa na chakubangaMbona opposition wakiisema CCM hawaambiwi hayawahusu.
Hoja kwamba hayawahusu ni hoja dhaifu inayotolewa na watu wanaoshindwa kujitetea.
Kwani ACT hawatokuja kuniomba kura?
Hivi wewe ni kichaa?
Maana huu hauwezi kuwa ni ujinga!
Hujakosea hiyo kura moja ambayo mmeikosa na tuko wengi sana tuliotekwa na Chakubanga na tunaona fahari kubwa kwa ChakubangaWewe hata wakikuomba huwezi kuwachagua maana akili yako ishatekwa na chakubanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichaa sio chizi?
Hujakosea hiyo kura moja ambayo mmeikosa na tuko wengi sana tuliotekwa na Chakubanga na tunaona fahari kubwa kwa Chakubanga
Hapo vip
Hapo nimekuuliza wewe.
Ayatollah yupo hapa Dar anashughulikia masuala ya kitaifa! Ngoja Maalim Seif aje huko muafaka utapatikana tu, komaeni watani zangu.
Ndio ukomavu wa kisiasa huo. Heri hawa wana uwezo wa kusema na kutofautiana. CCM kuna sauti moja tu....hahahaha unakunja mkia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichaa anapoyasema maneno hayo haishangazi.
Baba Levo ametulia sana, naye ana Maumivu ya Zitto Kabwe. Alimdanganya atamsomeshea Watoto wake akiwa gerezani lakini alichokikuta mtaani Baba Levo hana Hamu na Zitto Kabwe.
Tuwakumbushe akina kinyongoMoto umewaka ndani ya ACT Wazalendo Kigoma kutokana na Azma ya Madiwani wote kumkataa Meya wa Manispaa . Usiku wa kuamkia tarehe 16.01.2020 wamejikuta viongozi wa kitaifa wakishindwa kuyamaliza na kusababisha kuendelea kufukuta mpka walilazimika kutumia Mishumaa ili kuendelea kutafuta suluhisho la mgogoro wa madiwani wake.
Mkuu wa chama atishia kuwafukuza baadhi ya Madiwani pamoja na baadhi ya wajumbe wa vikao vya maamuzi ya Chama ngazi ya jimbo na mkoa wanaowaunga mkono madiwani ambao hawaridhishwi na mwenendo wa Meya.
Madiwani Wamepanga kumsurubu wakimwita Wamechoka kufanya kazi na Wazee wa 10% , na Wamejipanga asipotolewa Meya Watamwachia chama chake Waendelee na Madili yao.
Hili Jeshi la Polisi Kigoma lichukue tahadhari kubwa Moto unaweza ukawaka tarehe 17.01.2020 Mwanga Centre. Ngumi zinaweza kupigwa.
Note Hali si shwari, Zitto anatuhumiwa amekula peke yake mshiko waliokubaliana wagawane Milioni 10 kila mmoja. Inasemekana Meya alikatiwa M50