Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah
Kwenye madumbuzi ya fedha za chama Zitto na Mbowe wanafanana!
Saizi Wapo Ofisi za ACT Wazalendo Kigoma ujiji wanawabembeleza Madiwani wakubali kupokea hata M5 yaishe napo wamesimika. Mwanzon team Leader alikuwa ni Zitto Kabwe saizi anajifanya naye hayumo baada ya kuona tayari wamegawana mipesa kutoka kwa Wakandarasi.
Hata kama msipo elewa au kuukubali lkn umewaingiaMstari mmoja huu ulioandika hapa hakuna mtu aliyeko CCM anaweza akausoma na kuuelewa. Hata akielewa atajifanya hakuuelewa.
Lowasa alivyokuja CHADEMA alikuwa amekunja mkia!
Alafu alivyokaribia kufika kwenu akaufyatulia angani!
Kumbe ndiyo maana usiku waliwasha licha ya kuchukua M8 ngoja Mbwambo awamulike. Rushwa ni adui wa HakiInakuhusu nini? Wewe angaikia kuishauri ccm yako wawaletee umeme wa uhakika badala ya kutumia mishumaa baada ya kuishiwa unit ila hong
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Kiongozi ni kwamba Madiwani wapo 23 kati ya 26 waliomkataa Meya Wakiwemo akina Omary Gindi wa Chadema aliyevuta kilo 5 za kukataa sahihi na akina Kacheche wanaojifanya wapambe kumbe wametumia Fursa kupiga hera. Meya wamemnyonya kwelikweli Mpaka Huruma. Chanzo Wanataka kumkomesha na kuzirudisha Meya na Zitto walizozivuta kwa Mchina 10%Ya Gharama ya Ujenzi wa Barabara, 10%Kwenye Ujenzi wa Bandari 😆😆😆😆😆😆😆😆😎, Madiwani wa ACT wanatumiwa kama tissue/tolet paper. Nasikia wamepanga ijumaa na kesho Wamzingue kimbembele Kacheche na Kalyango. Kalyango alikuwa anapumuliwa zamani sijui mapak saizi anadandiwaM10 kila mmoja na zipo M 50 hahahahahahhha sijaipata hiyo picha!!!kwani mgao ni wa wangapi?
Hivi huko Lumumba msipomtaja Mbowe kwenye post buku7 haingiiii!?Kwenye madumbuzi ya fedha za chama Zitto na Mbowe wanafanana!
Laiti watanzania wa upinzani wangewajua hawa ! Duu, wange banangenge !Kwenye madumbuzi ya fedha za chama Zitto na Mbowe wanafanana!
Hivi wewe ni kichaa?
Kwani ufipa huwa hawamtaji JPM ? Mbona kutwa kucha ? Asitajwe ye nani kwani ? Mtukufu ??Hivi huko Lumumba msipomtaja Mbowe kwenye post buku7 haingiiii!?
Curiously to know
Yaani CCM kidume (jogoo) ni mmoja tuu, wengine ni mitetea tuu.Ndio ukomavu wa kisiasa huo. Heri hawa wana uwezo wa kusema na kutofautiana. CCM kuna sauti moja tu....hahahaha unakunja mkia
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahhaYaani CCM kidume (jogoo) ni mmoja tuu, wengine ni mitetea tuu.
Na yule mtetea mkuu toka udsm naona ndio ameshika kasi kutetea kama mtagaji mayai mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitupa jiwe kwenye giza Ukiona mamaaaaaa ujue ndiyo haohao wapo kuwambembeleza Madiwani kama wewe siyo Zitto utakuwa Lite au Organization incharge 😆😆😆😆hatariiiiiMbona umeripoti hili jambo kitaarabu sana? Wewe ni ke au mtoto asiye riziki????
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe! Hata husongi mbele ume ganda hapohapo?Lowasa alivyokuja CHADEMA alikuwa amekunja mkia!
Mbona opposition wakiisema CCM hawaambiwi hayawahusu.Inakuhusu nini? Wewe angaikia kuishauri ccm yako wawaletee umeme wa uhakika badala ya kutumia mishumaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujadili rushwa inayotembea huko Kigoma ujiji mitaa ya BakwataWewe nawe! Hata husongi mbele ume ganda hapohapo?
Lowassa sio wakutolea mfano tena, yupo tuu huko CCM anafanya yale aliyosema Msukuma na msafishaji wake ni Polepole!
Ebo!
Sent using Jamii Forums mobile app