ACT Wazalendo kinatumika kuwaondoa wananchi kwenye hitaji la katiba mpya

ACT Wazalendo kinatumika kuwaondoa wananchi kwenye hitaji la katiba mpya

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Tunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA.

KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na Sheria Zilizomo kwenye KATIBA , TUME iliyopo Iliundwa baada ya KATIBA, Inashangaza sana MWANASIASA Anayejitangaza Eti ni MPINZANI Wakati Anadhohofisha Mipango ya WAPINZANI.

CCM haitaki KATIBA MPYA na ZITTO na ACT nao Hawataki KATIBA MPYA.

Kwanini HAWATAKI?

Ni wakati wa KUONGEZA MAPAMBANO ya KUDAI KATIBA MPYA hata kama ITACHUKUA MIAKA 5 TUDAI TU.

ACT WAZALENDO sio CHAMA cha UPINZANI ni TAWI la CCM.

20220114_182404.jpg
20211217_073047.jpg
 
ACT Wazalendo hawatumiki na yeyote, ni vile tu watawala wa upinzani wanapotaka kuutawala upinzani wote. Waacheni ACT wafanye siasa zao, nanyi fanyeni zenu, sioni ugumu katika hilo. Mnatumia nguvu kubwa kupambana na ACT huku nyie mkiendelea kuperish
 
Zile siasa za ccm kutembea na bendera za chadema na kuanza kumlalamikia Mbowe🤣🤣
 
Vipi , wewe hutaki Katiba mpya kama ACT ?
ACT hawajakataa katiba mpya, and katibya mpya haitatatua shida zako, iliyopo haiheshimiwi, mnafanya nini ili iheshimiwe? Hamuheshimu hata katiba za vyama vyenu, katiba ya chama chako ilikuwa mihula miwili kwa mwenyekiti, akanogewa, akachakachua juu kwa juu, now ni Mkiti wa milele! Eti mnadai katiba mpya, poor you
 
ACT Wazalendo hawatumiki na yeyote, ni vile tu watawala wa upinzani wanapotaka kuutawala upinzani wote. Waacheni ACT wafanye siasa zao, nanyi fanyeni zenu, sioni ugumu katika hilo. Mnatumia nguvu kubwa kupambana na ACT huku nyie mkiendelea kuperish
Huwezi kuungana na Chama kinachopinga KATIBA MPYA ukajiita MPINZANI
 
ONYESHA POPOTE AMBAPO ACTWAZALENDO WAMESEMA HAWATAKI KATIBA MPYA POPOTE ONYESHA!
Ukishindwa wewe ni mzushi.

Halafu mjue ACT kipo ndani ya serekali Zanzibar usitegemee matendo yao yatafanana na CDM.
Kama hujui wao wanapush katiba kutokea ndani ya duara za maamuzi. Mkitaka shirikianeni nao au wachukulieni kama sehemu ya serekali. Ila kila chama kina maamuzi yake CDM wawache kujimilikisha upizani.
 
ONYESHA POPOTE AMBAPO ACTWAZALENDO WAMESEMA HAWATAKI KATIBA MPYA POPOTE ONYESHA!
Ukishindwa wewe ni mzushi.

Halafu mjue ACT kipo ndani ya serekali Zanzibar usitegemee matendo yao yatafanana na CDM.
Kama hujui wao wanapush katiba kutokea ndani ya duara za maamuzi. Mkitaka shirikianeni nao au wachukulieni kama sehemu ya serekali. Ila kila chama kina maamuzi yake CDM wawache kujimilikisha upizani.
Wanadandiaje hewani habari ya time ya uchafuzi, badaya ya katiba mpya ambayo ndani yake italeta time huru ya uchaguzi
 
Tunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA.
KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na Sheria Zilizomo kwenye KATIBA , TUME iliyopo Iliundwa baada ya KATIBA, Inashangaza sana MWANASIASA Anayejitangaza Eti ni MPINZANI Wakati Anadhohofisha Mipango ya WAPINZANI.

CCM haitaki KATIBA MPYA na ZITTO na ACT nao Hawataki KATIBA MPYA.

Kwanini HAWATAKI?

Ni wakati wa KUONGEZA MAPAMBANO ya KUDAI KATIBA MPYA hata kama ITACHUKUA MIAKA 5 TUDAI TU.

ACT WAZALENDO sio CHAMA cha UPINZANI ni TAWI la CCM.

View attachment 2082736View attachment 2082737

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app

ACT hawana ushawishi hata kidogo. Nilitegemea wao ndio wangechukua kiti Cha CHADEMA baada ya CHADEMA kujitoa kwenye active politics kama chaguzi ndogo na bungeni. Ila wameprove failure. Chaguzi wameshiriki lakini hawana impact yeyote. Wenyewe waendelee kukaa kwenye ndoa na CCM , siasa waiachie CHADEMA.
 
ONYESHA POPOTE AMBAPO ACTWAZALENDO WAMESEMA HAWATAKI KATIBA MPYA POPOTE ONYESHA!
Ukishindwa wewe ni mzushi.

Halafu mjue ACT kipo ndani ya serekali Zanzibar usitegemee matendo yao yatafanana na CDM.
Kama hujui wao wanapush katiba kutokea ndani ya duara za maamuzi. Mkitaka shirikianeni nao au wachukulieni kama sehemu ya serekali. Ila kila chama kina maamuzi yake CDM wawache kujimilikisha upizani.

Unakuwaje na Tume huru ndani ya katiba mbovu ya chama kimoja?. Hawa nao wameishiwa Cha kuwashuri wajikite kuimarisha ndoa yao na CCM .
 
ACT hawajakataa katiba mpya, and katibya mpya haitatatua shida zako, iliyopo haiheshimiwi, mnafanya nini ili iheshimiwe? Hamuheshimu hata katiba za vyama vyenu, katiba ya chama chako ilikuwa mihula miwili kwa mwenyekiti, akanogewa, akachakachua juu kwa juu, now ni Mkiti wa milele! Eti mnadai katiba mpya, poor you
Miongoni wa hasara kubwa kwa taifa ni wote mithili ya nyie mnaofikiri kutudanganya kuwa tume huru katika mazingira ya Sasa italeta suluhisho la chafuzi mnazo ratibu .
 
Hiyo Act-wazalendo ni chama kilichoundwa na serikali ya ccm sawa tu na ilivyounda vyama vingine pandikizi vya upinzani na hili liko wazi kabisa.

Zitto is a political opportunist who is in the payroll of the ccm regime, he would masquerade as the true opposition politician to hoodwink the unsuspecting people to trust him. Zitto is nothing but a ccm mole in opposition ranks and file.
 
Nimesoma Hoja za ACT ni nzuri na zinaeleweka shida ya Chadema ni wanataka Katiba mpya kama wimbo ila hawajaleta hoja za ushawishi kwanini Katiba mpya

ACT wamesema Tume huru kwanza na wametoa sababu

Chadema njooni na sababu kwanini Katiba mpya kwanza

Hapa itaturahisishia kupima kipi kianze, hoja zitoke kwenye Uongozi wa Chama sio kwa watukanaji mitandaoni
 
Tunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA.
KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na Sheria Zilizomo kwenye KATIBA , TUME iliyopo Iliundwa baada ya KATIBA, Inashangaza sana MWANASIASA Anayejitangaza Eti ni MPINZANI Wakati Anadhohofisha Mipango ya WAPINZANI.

CCM haitaki KATIBA MPYA na ZITTO na ACT nao Hawataki KATIBA MPYA.

Kwanini HAWATAKI?

Ni wakati wa KUONGEZA MAPAMBANO ya KUDAI KATIBA MPYA hata kama ITACHUKUA MIAKA 5 TUDAI TU.

ACT WAZALENDO sio CHAMA cha UPINZANI ni TAWI la CCM.

View attachment 2082736View attachment 2082737

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Baada ya kumuua seif act wamekuwa wahuni tu
 
Tunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA.
KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na Sheria Zilizomo kwenye KATIBA , TUME iliyopo Iliundwa baada ya KATIBA, Inashangaza sana MWANASIASA Anayejitangaza Eti ni MPINZANI Wakati Anadhohofisha Mipango ya WAPINZANI.

CCM haitaki KATIBA MPYA na ZITTO na ACT nao Hawataki KATIBA MPYA.

Kwanini HAWATAKI?

Ni wakati wa KUONGEZA MAPAMBANO ya KUDAI KATIBA MPYA hata kama ITACHUKUA MIAKA 5 TUDAI TU.

ACT WAZALENDO sio CHAMA cha UPINZANI ni TAWI la CCM.

View attachment 2082736View attachment 2082737

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app


Waache wao wadai Tume huru na nyie mdai Katiba, ni suala la kukubaliana tu.

Wewe dai upewe treni na mwingine acha adai apewe gari na atakuja mwingine atadai ndege na mwingine atadai baiskeli, shida ipo wapi hadi mnataka kutoana macho.

"Kasirikeni kidogo bado kuna njia ndefu katika safari ya mapambano"---- by ZZK.
 
ACT Wazalendo hawatumiki na yeyote, ni vile tu watawala wa upinzani wanapotaka kuutawala upinzani wote. Waacheni ACT wafanye siasa zao, nanyi fanyeni zenu, sioni ugumu katika hilo. Mnatumia nguvu kubwa kupambana na ACT huku nyie mkiendelea kuperish
Waambie ACT-CCM,Watafute wanachama waliyopo Ni wafuasi wa maalimu,hivi punde wanahamia chama chao kipya.
 
Back
Top Bottom