Hoja za Zitto kila mara huwa na ukakasi, CCM wameamua kuwapaka wadanganyika mafuta kwa mgongo wa chupa ati ya kuwapa Tume huru. Yaani ni sawa na kuwa na njaa ya siku mbili afu mtu ana box la biskuti anakutupia kipande cha biskuti kimoja kukupima imani yako.
CCM ili kufanikisha hilo wanamtumia ndugu Zitto kujaribu kuwashawishi wapinzani na sisi wadanganyika kuwa Tume huru ndiyo ati italeta Katiba Mpya...kweli ndugu zangu? Bado tunazidi kudanganyika tu karne hii ya 21.
Ndugu Zitto hajawahi kuaminika, huyu ni mzee wa kula lotekote na kupuliza...huwa haachii fursa ikitokea ipite.
Huyu ndiye Kiongozi Mkuu wa ACT - cheo ambacho kitadumu hadi chama kitakapokufa ama yeye akifa.
CCM ili kufanikisha hilo wanamtumia ndugu Zitto kujaribu kuwashawishi wapinzani na sisi wadanganyika kuwa Tume huru ndiyo ati italeta Katiba Mpya...kweli ndugu zangu? Bado tunazidi kudanganyika tu karne hii ya 21.
Ndugu Zitto hajawahi kuaminika, huyu ni mzee wa kula lotekote na kupuliza...huwa haachii fursa ikitokea ipite.
Huyu ndiye Kiongozi Mkuu wa ACT - cheo ambacho kitadumu hadi chama kitakapokufa ama yeye akifa.