Wananchi wa wapi walikwambia katiba ndio itawalea msosi?Tunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA.
KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na Sheria Zilizomo kwenye KATIBA , TUME iliyopo Iliundwa baada ya KATIBA, Inashangaza sana MWANASIASA Anayejitangaza Eti ni MPINZANI Wakati Anadhohofisha Mipango ya WAPINZANI.
CCM haitaki KATIBA MPYA na ZITTO na ACT nao Hawataki KATIBA MPYA.
Kwanini HAWATAKI?
Ni wakati wa KUONGEZA MAPAMBANO ya KUDAI KATIBA MPYA hata kama ITACHUKUA MIAKA 5 TUDAI TU.
ACT WAZALENDO sio CHAMA cha UPINZANI ni TAWI la CCM.
View attachment 2082736View attachment 2082737
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Tatizo la Chadema wanataka Siasa na mitazamo yao ndio iwe mitazamo ya watu wote halafu wanajiiita Wapigania uhuru wa kutoa maoni
Tuna vyama vingi kwa kuwa kila chama kitakuwa na utofauti na vyama vingine otherwise kisingekuwepo
Chadema kama mnaona ianze Katiba Mpya kabla ya Tume huru hayo ni mawazo yenu na msifanye mawazo yenu ndio Msahafu wa vyama vyote vya Upinzani vifuate
Kila siku Chadema wako busy kutuonesha kuwa ACT ni CCM B ila ACT hawana time ya kutuonesha kama Chadema ni nani kwa kuwa wanajua hilo sio jukumu lao
Suala la katiba haliwezi kuwa la Cdm pekee nikwa watanzania wote
1. Haki kwa kila mtanzania
2. Maendeleo kwa kila mtanzania
3. Afya kwa kila mtanzania
4. Elimu kwa kila mtanzania
Hayo mambo ma nne yatakuwa bora, kamilifu na thabiti tukiwa na Katiba bora imara na kamilifu.
Tumehuru pekee nikutojali maslahi mapana ya taifa.
Tumehuru pekee ni ulafi wa madaraka na ubinsfsi wa kisiasa
Tume huru bila katiba bora bila msingi wa haki, taasisi imara nk ni ujinga tu.
Hitaji la Katiba nikwa watanzania wote
Wakulima
Wafugaji
Wafanyakazi
Wavuvi
Wamachinga
Mama lishe
Nk
Act inataka tumehuru ya uchaguzi .....urafi wa madaraka na ubinafsi.
ACT wachumia tumbo, ni wanafiki sana, zitto akiongoza namba moja
Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya panya kwa mikate!
Maana Tanzania uchaguzi ni mfumo sio tume tu.Nguvu ya Rais na wateule wake, polisi, TISS, Jeshi, Tume, Tamisemi na wengineo lazima viangaliwe kwa pamoja kupitia katiba mpya kwa kuwa vinahusika na uchaguzi mkuu.
Hiki kinachoitwa ni Tume huru ya uchaguzi ni changa la macho kwa wajinga ambao ndiyo wengi kwenye hii nchi.
ACT wazalendo ni tawi la kijasusi la chama cha CCM la kufanikisha nia ovu za CCM.
Mawazo ya kijingaWananchi wa wapi walikwambia katiba ndio itawalea msosi?
Hakuna anayetaka Katiba ya kuingiza machadema madarakani
Tunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA.
KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na Sheria Zilizomo kwenye KATIBA , TUME iliyopo Iliundwa baada ya KATIBA, Inashangaza sana MWANASIASA Anayejitangaza Eti ni MPINZANI Wakati Anadhohofisha Mipango ya WAPINZANI.
CCM haitaki KATIBA MPYA na ZITTO na ACT nao Hawataki KATIBA MPYA.
Kwanini HAWATAKI?
Ni wakati wa KUONGEZA MAPAMBANO ya KUDAI KATIBA MPYA hata kama ITACHUKUA MIAKA 5 TUDAI TU.
ACT WAZALENDO sio CHAMA cha UPINZANI ni TAWI la CCM.
View attachment 2082736View attachment 2082737
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
shida ni kwamba wanaamini katiba mpya itakua suluhu ya matatzo yote nchini, kua na katiba mpya ni jambo moja na kufuatwa na kuheshimiwa hiyo katiba ikishapatikana ni jambo jengnACT hawajakataa katiba mpya, and katibya mpya haitatatua shida zako, iliyopo haiheshimiwi, mnafanya nini ili iheshimiwe? Hamuheshimu hata katiba za vyama vyenu, katiba ya chama chako ilikuwa mihula miwili kwa mwenyekiti, akanogewa, akachakachua juu kwa juu, now ni Mkiti wa milele! Eti mnadai katiba mpya, poor you
Act wazalendo ni Mistress wa Chama cha Mafisadi duniani CCMTunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA.
KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na Sheria Zilizomo kwenye KATIBA , TUME iliyopo Iliundwa baada ya KATIBA, Inashangaza sana MWANASIASA Anayejitangaza Eti ni MPINZANI Wakati Anadhohofisha Mipango ya WAPINZANI.
CCM haitaki KATIBA MPYA na ZITTO na ACT nao Hawataki KATIBA MPYA.
Kwanini HAWATAKI?
Ni wakati wa KUONGEZA MAPAMBANO ya KUDAI KATIBA MPYA hata kama ITACHUKUA MIAKA 5 TUDAI TU.
ACT WAZALENDO sio CHAMA cha UPINZANI ni TAWI la CCM.
View attachment 2082736View attachment 2082737
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
FoolACT hawajakataa katiba mpya, and katibya mpya haitatatua shida zako, iliyopo haiheshimiwi, mnafanya nini ili iheshimiwe? Hamuheshimu hata katiba za vyama vyenu, katiba ya chama chako ilikuwa mihula miwili kwa mwenyekiti, akanogewa, akachakachua juu kwa juu, now ni Mkiti wa milele! Eti mnadai katiba mpya, poor you
Biatch hahaha, unatafuta bwana JF, MofoFool
shida ni kwamba wanaamini katiba mpya itakua suluhu ya matatzo yote nchini, kua na katiba mpya ni jambo moja na kufuatwa na kuheshimiwa hiyo katiba ikishapatikana ni jambo jengn
We shoga kaa kimya. Kila mtu anakujua ushoga wako.Biatch hahaha, unatafuta bwana JF, Mofo
Zitto amekuacheni kwa mbali sana, Chadema ndio mana inakufa fofofo., Strategies za Chadema ni zile zile za tokea mwaka 1992, Zitto anaenda na wakati ametafakari sana na yeye angekuwa kama chadema ACT ingekwishakufa kitambo na yeye tukamtoa kwenye ramani za kisiasa lakini Zitto amejinoa zaidi kisiasa alipounganisha chama na kule Zanzibar amekuwa mwanasiasa wa sasa.Tunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA.
KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na Sheria Zilizomo kwenye KATIBA , TUME iliyopo Iliundwa baada ya KATIBA, Inashangaza sana MWANASIASA Anayejitangaza Eti ni MPINZANI Wakati Anadhohofisha Mipango ya WAPINZANI.
CCM haitaki KATIBA MPYA na ZITTO na ACT nao Hawataki KATIBA MPYA.
Kwanini HAWATAKI?
Ni wakati wa KUONGEZA MAPAMBANO ya KUDAI KATIBA MPYA hata kama ITACHUKUA MIAKA 5 TUDAI TU.
ACT WAZALENDO sio CHAMA cha UPINZANI ni TAWI la CCM.
View attachment 2082736View attachment 2082737
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app