Kwenye hiyo heading, ipi ni sahihi
KUBALIKI au KUBARIKI.
Sawa mkuu. Lakini haya makosa ya kisarufi kupitia mitandaoni, siku hizi yamenifanya hata mimi nianze kujikuta nachanganya madesa wakati ninapoandika.Learn to ignore things, itakusaidia kuishi na mwanamke
Sawa mkuu. Lakini haya makosa ya kisarufi kupitia mitandaoni, siku hizi yamenifanya hata mimi nianze kujikuta nachanganya madesa wakati ninapoandika.
Cjaelewa hapo, kwani hayo ni makosa common kwa mwanamke au?Learn to ignore things, itakusaidia kuishi na mwanamke
Sawa mkuu. Lakini haya makosa ya kisarufi kupitia mitandaoni, siku hizi yamenifanya hata mimi nianze kujikuta nachanganya madesa wakati ninapoandika.
Cjaelewa hapo, kwani hayo ni makosa common kwa mwanamke au?
Utanifundisha kuignore kaka, Kuna ambavyo nashindwagaUkishindwa ignore vitu vidogo hivi utashindwa na kwa mwanamke pia
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pambaMaskini Bi Kirembwe
Unazungumzia Gen Z hawa wanakiandika 'Sasa' ni 'Xaxa'...?Watanzania wengi hawajui kuandika Kiswahili. Yaani Kiswahili ni Tatizo na Kingereza pia.
Kama ndivyo naunga mkono hoja kabisa, unaenda kwenye uchaguzi wa kimangumashi ili iweje, box la kura linatakiwa heshimika na hii itasaidia kupiga hatua kimaendeleo kama nchi , ccm wakishinda kialali kuna shida gani , na kama wapo madarakani na wanasema wamefanya mengi wanaogopa nini kufanya reforms ili box liamue.Wakuu
Kwa Taarifa zilizonifikia ni kuwa kikao cha Tundu Lissu pamoja na Ado Shaibu (KM ACT WAZALENDO) na Ismail Jussa, kilichofanyika jana ofisi za chadema AGENDA yao ilikuwa ni kuhusu NO REFORM NO Elections na hivyo wamekubaliana, hiyo imepelekea ACT kuitisha halmashauri kuu ili AGENDA hiyo ipate baraka
Hakika mwaka huu tutaona mengi