Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Nasikia huko Zanzibar kimeumana!
Sijajua Othman Masoud na Rais Mwinyi kama wanatazamana usoni kwa sasa. Masoud anaonekana ni mtata sana hata akiwa ofisini sijajua anamshauri vipi Rais Mwinyi.
Kilichopo kwa ACT wamshukuru Maalim Seif kwa heshima yake suk imekuwepo. Hiyo haimaanishi CCM watawatengenezea urahisi wao kushika Dola, kuleni kilichopo mezani hayo mengine achaneni nayo pigeni pesa!
Sijajua Othman Masoud na Rais Mwinyi kama wanatazamana usoni kwa sasa. Masoud anaonekana ni mtata sana hata akiwa ofisini sijajua anamshauri vipi Rais Mwinyi.
Kilichopo kwa ACT wamshukuru Maalim Seif kwa heshima yake suk imekuwepo. Hiyo haimaanishi CCM watawatengenezea urahisi wao kushika Dola, kuleni kilichopo mezani hayo mengine achaneni nayo pigeni pesa!