ACT Wazalendo Kunani? Membe aonekana uwanja wa ndege JKNIA, akimbia kampeni?

ACT Wazalendo Kunani? Membe aonekana uwanja wa ndege JKNIA, akimbia kampeni?

Kuna mawili:Membe atakuwa kamuunga mkono Lissu au kashindwa kuelewana na wenzake katika swala la kumuunga mkono Lissu iwapo kweli hakuwa tayari kufanya hivyo kama alivyosikika hivi karibuni na sasa kaamua kuendelea na issue zake zingine.

Lakini,huenda kapata dharura hivyo tusimuhukumu moja kwa moja bali tujipe muda ingawa dharura hiyo haipaswi kufanywa siri kama kweli kapata dharura.

Bila kupinga maelezo yako mazuri, mimi kama mimi sitaki hata Membe amuunge mkono Lisu, maana hata asipomuunga mkono bado Lisu na support ya kweli ya wapinzani. Huyo Membe ni mwanaccm leo hadi kesho, na ataingia kaburini akiwa mwanaccm.Sana sana akimsupport Lisu atalazimisha kuingia kwenye vikao vya mikakati vya cdm, kisha akirudi ccm anakuwa na siri kama kina Lowassa na Sumaye.

Tusikubali kabisa Membe kumuunga mkono Lisu ni hatari kubwa. Huko ACT mpinzani wa kweli ni Maalim Seif na Wapemba wenzake. Lakini hawa wakina Zito ni kukaa nao kwa akili.
 
Bila kupinga maelezo yako mazuri, mimi kama mimi sitaki hata Membe amuunge mkono Lisu, maana hata asipomuunga mkono bado Lisu na support ya kweli ya wapinzani. Huyo Membe ni mwanaccm leo hadi kesho, na ataingia kaburini akiwa mwanaccm.Sana sana akimsupport Lisu atalazimisha kuingia kwenye vikao vya mikakati vya cdm, kisha akirudi ccm anakuwa na siri kama kina Lowassa na Sumaye.

Tusikubali kabisa Membe kumuunga mkono Lisu ni hatari kubwa. Huko ACT mpinzani wa kweli ni Maalim Seif na Wapemba wenzake. Lakini hawa wakina Zito ni kukaa nao kwa akili.
Asante.Umeongea point sana.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
bado mnampa bichwa?

fananisha mshono wa kampeni za chadema na za ACT ndio utaelewa anaenda wapi..

Anatoka Nduki....

Akimzidi kura TL kwa mbinu yoyote ntashangaa..
Jasusi huyu anajipanga vizuri na kwa umakini mkubwa sana,tusubiri tu tuone atakavyowagaragaza ccm
 
Unafikiri kuhutubia juu ya hutu tumeza mchezoe?

Kajionea taabu tu
1599813508215.jpeg
 

Attachments

  • CC2162D9-1D8C-4AC4-8476-41C4B8F500C4.jpeg
    CC2162D9-1D8C-4AC4-8476-41C4B8F500C4.jpeg
    69.4 KB · Views: 2
Habari zinazozunguka mitandaoni hivi sasa ni kuonekana kwa Bernard K. Membe uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, taarifa za awali zinasema anaelekea nje ya nchi. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka chama cha ACT Wazalendo, Je Mh. Membe ameamua kuachana na kampeni ? Kuna nini kinaendelea ?

Maji marefu ,anafuata mbazi wa kumrogea Magufuli
 
JNIA huwa ni kwa wanaoenda nje tuu?
Na wanaonda Zenji watapitia wapi??


Anyway anaenda Uk alaf atasema afya haimruhusu alafu kura zake apewe lissu
Ukiwa uwanja wa ndege kuna sehemu mbili, wale wa safari za ndani na safari za nje huwa hawachangamani.
Hivyo ni rahisi kutambua kuwa abiria ana safari ya ndani ya nchi au nje ya nchi
 
Bila kupinga maelezo yako mazuri, mimi kama mimi sitaki hata Membe amuunge mkono Lisu, maana hata asipomuunga mkono bado Lisu na support ya kweli ya wapinzani. Huyo Membe ni mwanaccm leo hadi kesho, na ataingia kaburini akiwa mwanaccm.Sana sana akimsupport Lisu atalazimisha kuingia kwenye vikao vya mikakati vya cdm, kisha akirudi ccm anakuwa na siri kama kina Lowassa na Sumaye.

Tusikubali kabisa Membe kumuunga mkono Lisu ni hatari kubwa. Huko ACT mpinzani wa kweli ni Maalim Seif na Wapemba wenzake. Lakini hawa wakina Zito ni kukaa nao kwa akili.
Mkuu tindo ntakubaliana na mawazo yako yaliyo mengi, lakini kuhusiana na Zitto mpaka kesho ntaendelea kuamini nimpinzani halisi, lakini hitilafu yake anauchu wamadaraka hana subira.
 
JNIA huwa ni kwa wanaoenda nje tuu?
Na wanaonda Zenji watapitia wapi??


Anyway anaenda Uk alaf atasema afya haimruhusu alafu kura zake apewe lissu
Acha kujiaibisha, wanaokwenda Zanzibar wanatumia Terminal 1. Hapo alipopigiwa picha ni pa kwenda ughaibuni.

Mambo mengine waachieni wanao panda ndege.
 
Kama kweli anakacha kampeni ni pigo si tu kwa ACT Wazalendo, kama chama, bali kwa wagombea wote wa chama, akiwemo Maalim Seif. Laiti ACT Mzalendo ingemuunga Lissu mapema, ingekuwa bora na kueleweka kwa wapiga kura.

Sasa mimi naona ni chama cha wasaliti.
Acha tu mkuu politics km politics
 
Back
Top Bottom