kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Babu ,hongera Kwa kumjbia zito na Act wazalendo vizuriMkuu Missile of the Nation, kwanza nikupongeze kwa bandiko hili kwasababu watu wenye uwezo wa kufanya analysis kama hizi humu JF, wanahesabika, big up sana kwa hili and keep it up, mabandiko kama haya yanaiheshimisha jf. Pili naunga mkono baadhi ya hoja.
Hivi ndivyo vyama serious vinavyotakiwa kufanya, this is a sign of maturity!. Chama mature, kunapotokea jambo lolote kubwa la chama kutoa kauli ya chama, chama kitakutana to deliberate on the issue, ndipo kinatoa kauli ya chama, kama walivyofanya CCM.
ACT Wazalendo hawajafanya kikao chochote kujadili issue ya Bandari kwasababu ACT Wazalendo sio chama cha matukio!.
Huu ni ukomavu, chama serious hakikurupuki kutoa kauli za chama wala hakilazimiki kufuata mkumbo, kimewapa viongozi wake demokrasia ya uhuru wa maoni yao binafsi, this is very healthy kwenye freedom of expression.
Ni kweli mkataba huu wa DPW na Bandari zetu una. matatizo makubwa ya kisheria
Sio lazima maoni ya kila mtu yafanane, hivyo Zitto Kabwe hajaiona hiyo hatari
Yeye ameona huo mkataba ni karatasi ya kufungia vitumbua,
Sii kweli, labda kwa watu wasiomjua Zitto, lakini wanaomjua wanamjua Zitto ni very serious leader.
Hapa naomba niheshimu tuu mawazo yako japo sikubaliani nawe
Hii ni kitu mpya kwa siasa za Tanzania, inaitwa strategic politicking
duh...!
Sii kweli
Hili neno!.
Hili neno!
Naunga mkono hoja, ACT Wazalendo kilipoanzishwa kilianza vizuri, na mimi nililizungumzia Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza kiukweli Zitto ni very good strategist, ilipojitokeza fursa ya mtafaruku wa CUF, Zitto akaona fursa, akachangamkia fursa, akawameza, sasa nguvu ya ACT Wazalendo ni Zanzibar.
P
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app