ACT Wazalendo kushindwa kutoa msimamo kuhusu bandari kimejiondolea sifa. CHADEMA inaitumia fursa hiyo kuwasulubu

Babu ,hongera Kwa kumjbia zito na Act wazalendo vizuri

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
ACT ni sehemu ya SUK huko Zanzibar, lazima wacheze hii ngoma kwa umakini hasa ukizingatia upande wa Zanzibar ndani ya Act ndio wenye nguvu ndio maana unawaona kama wameegemea zaidi huko.

Kuhusu mkataba wa bandari mpaka tutakapoona msimamo wa Act kama chama kuhusu IGA ndio tunaweza kutoa mjumuisho Ila kwa sasa sio sawa kufanya hivyo.

JokaKuu zitto junior Kalamu Pascal Mayalla Nguruvi3
Mag3 Tindo
 
waAfrika wana laana, hawajawahi kuwa siriaz na mambo yao. ni ujinga ujinga tu!



Jesus is Lord
 
umemaliza vizuri 'nguvu ya chama cha ACT ni Zanzibar' kwa hiyo jamaa yupo sahihi kusema ACT ipo kwa ajili ya kuwatetea wazanzibar
 
kitendo cha Juma Duni kusema masuala ya vyama si ya muungano ana maanisha nini? kila upande uwe na chama chake na kuwa ACT haikupaswa iwe ya kitaifa!
 
ACT NI CCM B ITAPINGAJE?
 
Ha Hao watanzania wengi umewaona wapi au ni wewe na familia yako tu
 
Kwa sababu Hii basi ni utumwa kwa viongozi wa bara kuzungumzia masuala yenye maslahi na Tanganyika.
 
akili timamu mnauza bandar ni mazezeta pekee ndio mtayapata huko ccm na ccm B, ndio maana mkutano wenu pale kirumba ulibuma pamoja na gharama za kusomba watu hadi Geita,busega,bariadi na kwingineko, na jana pale Geita mjini tumewasulubu mpaka sasa mmepata insanity hamuamin nguruwe nyinyi.
 
Hayo ni maoni yako na mawazo yako lakini ukweli haiko hivo Hao ACT mikutano yao yote huku zanzibar wanaikosoa CCM tena kwa sana tu
 
kitendo cha Juma Duni kusema masuala ya vyama si ya muungano ana maanisha nini? kila upande uwe na chama chake na kuwa ACT haikupaswa iwe ya kitaifa!
Hiyo ni tafsiri yako wewe huyo babu juma duni amesema masuala ya vyama vya siasa hayamo katika Mkataba wa Muungano
 
Unakuwa kama unaugeni na watanzania weye, watanzania wape habari za kulaumu,kunungunika,kuchambana na mipasho,WATAJAA LUKUKI HAPO.
 
Mkuu umeweza kupotosha umma,

ACT ilitoa msimamo wake kuhusu suala la bandari mapema sana, tena waliotoa kisomi zaidi tofaut na CHADEMA wanaoropoka tu kila siku bila kuja na suluhisho la ufanisi wa bandari,

ACT walisema iundwe kampuni moja ambayo DP world watakuwa na share, Serikali itakuwa na share na share nyingine ziwekwe DSE, kisha kampuni hio ndio isimamie bandari,

Sijui CHADEMA wao mapendekezo yao ni yapi zaidi ya kuwa Pinga Pinga FC
 
Wewe ndio mburula kabisa. Kigezo gani umetumia kugundua ACT inakubalika zaidi bara kuliko CDM? MBWA WEWE
 
..Ccm iko madarakani hivyo inatakiwa iwe na majibu.

..chama tawala kutegemea kupewa majibu na chama cha upinzani ni dalili ya uvivu, na uchovu wa fikra.
Kwani walioko madarakani ndio Wana akili kuliko wengine?
 
Hiyo mi ACT si miisiramu tu hiyo.
 
Tatizo huwezi kuungana na walevi na waliougua maleria na sasa wananchi wengi wameanza kuiona picha halisi ya uongozi wa Chadema .

Ngazi kuu ya chadema ni madicteta na siku wakifanikisha kuichukua nchi hii wananchi watasaga meno.ila nashangaa hadi leo wameshindwa kuwarudisha wanawake waliorubuniwa bungeni ,mtakuja kuweza kuuzuia Mkataba wa bandari,subutuu.
Endeleeni na ndoto zenu za mchana aka day dreams.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…