Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mbowe maoni yake anatoa Ikulu moja kwa moja, hata kwenye baraza sijui la vyama hakwenda alikataa ndiyo maana kaitwa Ikulu, why hajaitwa Nzito na chama chake?
Mkuu chondechonde, weka akiba ya maneno pls. Ninachokiona kwa sasa sio nilichotarajia ndio maana nakusihi.