ACT Wazalendo kuzindua makao makuu mapya

ACT Wazalendo kuzindua makao makuu mapya

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Ijumaa, Oktoba 28, 2022
actpiic.jpg



Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kitazindua ofisi yake mpya ya Makao Makuu iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam.

Hafla hiyo ya uzinduzi itafanyika Oktoba 30, 2022 huku Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe ndiye atakayekuwa mgeni rasmi.

Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na chama hicho na kusainiwa na Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Janeth Rithe leo Ijumaa, Oktoba 28, 2022 wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi watahudhuria.
 
Ijumaa, Oktoba 28, 2022
actpiic.jpg



Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kitazindua ofisi yake mpya ya Makao Makuu iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam.

Hafla hiyo ya uzinduzi itafanyika Oktoba 30, 2022 huku Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe ndiye atakayekuwa mgeni rasmi.

Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na chama hicho na kusainiwa na Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Janeth Rithe leo Ijumaa, Oktoba 28, 2022 wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi watahudhuria.
Chama "SERA" sio majengo Mu7 alianzia jengo lipi? soon wataanza kuvuana na kuvalishana uanachama...
 
Imagine kuna chama kilikua na ruzuku ya 1b per month, lakini ofisi waliyopanga ni kituko, narudia ofisi waliyopanga.. wao hawana hata kibanda wanachomiliki. Uliwaambia huu ukweli wanakujibu chama ni sera sio majengo... haishangazi kufananishwa na manyumbu

Nchi hii CCM ni tatizo, upinzani ni tatizo kuu.. bora wanachi tupige kimya tuone tu kesho kunakucha vipi.
 
Chama "SERA" sio majengo Mu7 alianzia jengo lipi? soon wataanza kuvuana na kuvalishana uanachama...
Kwa hiyo mabilioni yote Chadema mlikuwa mkipata ruzuku mlitumia kuchapa vitabu vya sera? Mbona wanachama walio.wengi hizo.copy za sera hawana?

Chadema kubalini tu kuwa kuna mchwa ndani ya Chama

ACT wazalendo chama kidogo sana .Ona jengo lao.La uhakika pesa kidogo wanayopata wanaitumia vizuri
 
Lengo la mada ni chadema.
Ila kweli katika yote chadema kwa hili la kuendelea kupangisha ofisi za makao makuu mmefeli pakubwa.
Ni kama vile hakuna anayetaka kujenga makao makuu atakayokuja kutumia kiongozi mwingine.
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Kwa hili,mi kama mfuasi wenu wa muda mrefu mmenikatisha tamaa na ninaamini wengi kama mie wamekata tamaa.
Hatuwezi kutegemea michango ya wanachama kwa ajili ya ujenzi pekee,lazima kiasi cha ruzuku kitumike katika hilo.
Poor chadema
 
Imagine kuna chama kilikua na ruzuku ya 1b per month, lakini ofisi waliyopanga ni kituko, narudia ofisi waliyopanga.. wao hawana hata kibanda wanachomiliki. Uliwaambia huu ukweli wanakujibu chama ni sera sio majengo... haishangazi kufananishwa na manyumbu

Nchi hii CCM ni tatizo, upinzani ni tatizo kuu.. bora wanachi tupige kimya tuone tu kesho kunakucha vipi.
Yes ofisi Ile sio hadhi ya CHADEMA ila HAWAJAPANGA wamenunua majengo mawili tokea 2012 na recently Mnyika alipoingia ofisini wakaongeza jengo mtaa ule ule so unapotosha.
 
Lengo la mada ni chadema.
Ila kweli katika yote chadema kwa hili la kuendelea kupangisha ofisi za makao makuu mmefeli pakubwa.
Ni kama vile hakuna anayetaka kujenga makao makuu atakayokuja kutumia kiongozi mwingine.
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Kwa hili,mi kama mfuasi wenu wa muda mrefu mmenikatisha tamaa na ninaamini wengi kama mie wamekata tamaa.
Hatuwezi kutegemea michango ya wanachama kwa ajili ya ujenzi pekee,lazima kiasi cha ruzuku kitumike katika hilo.
Poor chadema
HAWAJAPANGA mkuu mbona mnapotosha, waliyanunua tokea 2012 na 2020 waliongeza jengo jingine. Hoja iwe hadhi ya majengo ila sio UMILIKI
 
Chama "SERA" sio majengo Mu7 alianzia jengo lipi? soon wataanza kuvuana na kuvalishana uanachama...
Acha wivu wa kike, kama chama chenu pamoja na maruzuku ya kutosha mmeshindwa waacheni wenzenu wanaojua thamani ya kuwa na majengo yao wajenge, wengine wamenga'ang'a kwenye vichocholo ilituone ka eti hawezi kujenga kwao kwani ni matumizi mabaya ya rasilimali vhake kilizonazo chama ni unafiki tuu kwa wanachama wao. Wanakula wachache kidogo wanachopata wengi wao wakiishia kula jua na kufukuzwa kuchama Chao
 
HAWAJAPANGA mkuu mbona mnapotosha, waliyanunua tokea 2012 na 2020 waliongeza jengo jingine. Hoja iwe hadhi ya majengo ila sio UMILIKI
Ni vizuri hizi taarifa za upotoshaji ziwe zinatolewa ufafanuzi.

Mtaani kuna taarifa kuwa baadhi ya mali za chama zimesajiliwa kwa majina ya watu. Taarifa kama hizi zisipotolewa maelezo ni rahisi kuaminiwa
 
Imagine kuna chama kilikua na ruzuku ya 1b per month, lakini ofisi waliyopanga ni kituko, narudia ofisi waliyopanga.. wao hawana hata kibanda wanachomiliki. Uliwaambia huu ukweli wanakujibu chama ni sera sio majengo... haishangazi kufananishwa na manyumbu

Nchi hii CCM ni tatizo, upinzani ni tatizo kuu.. bora wanachi tupige kimya tuone tu kesho kunakucha vipi.

Hebu tupe mrejesho wa Yanga na simba, timu zenye miaka zaidi ya 70, je zina viwanja vyake kama Azam FC? Je washabiki wa timu hizo wamehamia kushabikia Azam kwakuwa ina kiwanja chake?
 
HAWAJAPANGA mkuu mbona mnapotosha, waliyanunua tokea 2012 na 2020 waliongeza jengo jingine. Hoja iwe hadhi ya majengo ila sio UMILIKI

Mkuu uko sahihi sana, mimi ninaposhikilia kuwa Mbowe asiendelee kuwa mwenyekiti wa CDM tena baada ya kipindi kirefu hivyo, huwa ni mambo kama haya. CDM ilipaswa kuwa na ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na sio hicho kinachoendelea hapo. Pitia viongozi wote wa CDM wa ngazi za juu toka 2010, aina ya majengo yao binafsi waliyojenga, na hadhi ya hiyo ofisi yao.

Kuna nyuzi zaidi ya moja huku jukwaani kuhusu ujenzi wa ofisi ya CDM. Niliwahi kusema tena zaidi ya mara moja kuwa CDM wangeweza kutenga 500m -1b wakawa na ofisi yenye ghorofa zaidi ya 2, jengo ambalo lingekuwa hadi na kumbi za kubeba watu 500 kwa wakati mmoja. Je ni kweli CDM ilikosa hizo 500m-1b muda wa hii miaka 10 iliyopita?
 
Pitia viongozi wote wa CDM wa ngazi za juu toka 2010, aina ya majengo yao binafsi waliyojenga, na hadhi ya hiyo ofisi yao.
Mkuu umeongea jambo la maana sana, nipo nasubiri majibu ya watetezi wa chadema. Nione watalijibu vipi hilo.
 
Imagine kuna chama kilikua na ruzuku ya 1b per month, lakini ofisi waliyopanga ni kituko, narudia ofisi waliyopanga.. wao hawana hata kibanda wanachomiliki. Uliwaambia huu ukweli wanakujibu chama ni sera sio majengo... haishangazi kufananishwa na manyumbu

Nchi hii CCM ni tatizo, upinzani ni tatizo kuu.. bora wanachi tupige kimya tuone tu kesho kunakucha vipi.
CCM ni tatizo, upinzani tatizo.. Na sisi watanzania ndio tunaendekeza haya matatizo.
 
Acha wivu wa kike, kama chama chenu pamoja na maruzuku ya kutosha mmeshindwa waacheni wenzenu wanaojua thamani ya kuwa na majengo yao wajenge, wengine wamenga'ang'a kwenye vichocholo ilituone ka eti hawezi kujenga kwao kwani ni matumizi mabaya ya rasilimali vhake kilizonazo chama ni unafiki tuu kwa wanachama wao. Wanakula wachache kidogo wanachopata wengi wao wakiishia kula jua na kufukuzwa kuchama Chao
Wazee wa kujiteka wenyewe....
 
Kile chama kingine pale Ufipa Street inakuwaje hadi sasa bado wanapanga? ACT imeanzishwa hivi karibuni lakini wanafanya makubwa.
 
Ni vizuri hizi taarifa za upotoshaji ziwe zinatolewa ufafanuzi.

Mtaani kuna taarifa kuwa baadhi ya mali za chama zimesajiliwa kwa majina ya watu. Taarifa kama hizi zisipotolewa maelezo ni rahisi kuaminiwa
Mbona zipo clarified hata Kuna Uzi humu wa 2012 both Makene na Dr Slaa walijibu hizi tuhuma kwa nyaraka.

unless kama waTanzania hawafuatilii ila hizi mambo zimeshakaguliwa na CAG na hata mwaka 2021 Takukuru walifanya forensic audit ila hawakuona ubadhirifu wowote Sasa ni waTanzania Gani hao wanaamini hizo propaganda?
 
Back
Top Bottom