ACT Wazalendo kuzindua makao makuu mapya

ACT Wazalendo kuzindua makao makuu mapya

Mkuu uko sahihi sana, mimi ninaposhikilia kuwa Mbowe asiendelee kuwa mwenyekiti wa CDM tena baada ya kipindi kirefu hivyo, huwa ni mambo kama haya. CDM ilipaswa kuwa na ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na sio hicho kinachoendelea hapo. Pitia viongozi wote wa CDM wa ngazi za juu toka 2010, aina ya majengo yao binafsi waliyojenga, na hadhi ya hiyo ofisi yao.

Kuna nyuzi zaidi ya moja huku jukwaani kuhusu ujenzi wa ofisi ya CDM. Niliwahi kusema tena zaidi ya mara moja kuwa CDM wangeweza kutenga 500m -1b wakawa na ofisi yenye ghorofa zaidi ya 2, jengo ambalo lingekuwa hadi na kumbi za kubeba watu 500 kwa wakati mmoja. Je ni kweli CDM ilikosa hizo 500m-1b muda wa hii miaka 10 iliyopita?
Ni kweli Mbowe anaweza kuwa na madhaifu ila ndio ameifikisha Chadema hapo ilipo so kuanzia kumlaumu kwa ofisi wakati alikua muasisi enzi hizo anatumia magari binafsi kujenga chama naona kama tuna downplay sacrifice yake!! Hivi unakumbuka Yale ma Pick up ya M4C? zaidi ya 20 yalinunuliwa ila sijawahi ona akipongezwa humu ilihali yalisaidia sana tokea enzi zile za Operation Sangara.

Kingine Chadema inaamini katika ugatuzi, so nguvu kubwa iliwekwa kwenye ofisi za Kanda na wewe ni shahidi karibu Kanda zote Kuna ofisi nzuri na kubwa za Chadema so strategy ilikua wakimaliza ugatuzi warudi makao makuu.

So nikijibu hoja Yako, pesa hazikukosekana ila kipaumbele ilikua kuimarisha chama kwenye grassroots hasa level ya Kanda.

Kuhusu ufisadi sio kweli CAG ameshakagua mara ngapi sijaona wakimkamata afisa yeyote wa Chadema kwa wizi! In fact JPM alivokua na kisasi unadhani asingempa kesi ya uhujumu uchumi kwa kuiba pesa ya Chadema?

Mnyika kaahidi ofisi kubwa kujengwa so tumpe muda kama alivyosema na ata deliver
 
Kwa hiyo mabilioni yote Chadema mlikuwa mkipata ruzuku mlitumia kuchapa vitabu vya sera? Mbona wanachama walio.wengi hizo.copy za sera hawana?

Chadema kubalini tu kuwa kuna mchwa ndani ya Chama

ACT wazalendo chama kidogo sana .Ona jengo lao.La uhakika pesa kidogo wanayopata wanaitumia vizuri
JamiiForums609891976.jpg
 
Lengo la mada ni chadema.
Ila kweli katika yote chadema kwa hili la kuendelea kupangisha ofisi za makao makuu mmefeli pakubwa.
Ni kama vile hakuna anayetaka kujenga makao makuu atakayokuja kutumia kiongozi mwingine.
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Kwa hili,mi kama mfuasi wenu wa muda mrefu mmenikatisha tamaa na ninaamini wengi kama mie wamekata tamaa.
Hatuwezi kutegemea michango ya wanachama kwa ajili ya ujenzi pekee,lazima kiasi cha ruzuku kitumike katika hilo.
Poor chadema
Chadema haijawahi kupanga

JamiiForums609891976.jpg
 
Ijumaa, Oktoba 28, 2022
actpiic.jpg



Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kitazindua ofisi yake mpya ya Makao Makuu iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam.

Hafla hiyo ya uzinduzi itafanyika Oktoba 30, 2022 huku Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe ndiye atakayekuwa mgeni rasmi.

Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na chama hicho na kusainiwa na Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Janeth Rithe leo Ijumaa, Oktoba 28, 2022 wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi watahudhuria.
MAALIMU SEIF KAUZA HII NYUMBA?
 
Lengo la mada ni chadema.
Ila kweli katika yote chadema kwa hili la kuendelea kupangisha ofisi za makao makuu mmefeli pakubwa.
Ni kama vile hakuna anayetaka kujenga makao makuu atakayokuja kutumia kiongozi mwingine.
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Kwa hili,mi kama mfuasi wenu wa muda mrefu mmenikatisha tamaa na ninaamini wengi kama mie wamekata tamaa.
Hatuwezi kutegemea michango ya wanachama kwa ajili ya ujenzi pekee,lazima kiasi cha ruzuku kitumike katika hilo.
Poor chadema
Makao makuu sio kipaumbele bali ni ubinafsi, hivi unajua CHADEMA wamejenga ofisi ngapi nchi nzima? Unakuwa na jengo moja zuri la gharama halafu huko kwingine ni mataputapu huu ni ubinafsi wa hali ya juu sana
 
Imagine kuna chama kilikua na ruzuku ya 1b per month, lakini ofisi waliyopanga ni kituko, narudia ofisi waliyopanga.. wao hawana hata kibanda wanachomiliki. Uliwaambia huu ukweli wanakujibu chama ni sera sio majengo... haishangazi kufananishwa na manyumbu

Nchi hii CCM ni tatizo, upinzani ni tatizo kuu.. bora wanachi tupige kimya tuone tu kesho kunakucha vipi.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza kwamba mpaka sasa kimejenga ofisi mpya za kisasa zinazofikia idadi ya 457, nchi nzima.

Jambo hili limefichuliwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, John Mnyika akiwa Mkoani Rukwa kwa ajili ya mpango wa kisasa wa kusajili wanachama unaoitwa Chadema Digital.

Mnyika amedai kwamba Chadema iliona ni vema kupeleka majengo kwenye mzizi wa wanachama nchi nzima badala ya kuweka jengo moja lenye vyumba 450 Makao Makuu, na kwamba mchakato wa Ujenzi wa Makao Makuu utaanza baada ya kusimika ofisi nchi nzima.
 
Kwa hiyo mabilioni yote Chadema mlikuwa mkipata ruzuku mlitumia kuchapa vitabu vya sera? Mbona wanachama walio.wengi hizo.copy za sera hawana?

Chadema kubalini tu kuwa kuna mchwa ndani ya Chama

ACT wazalendo chama kidogo sana .Ona jengo lao.La uhakika pesa kidogo wanayopata wanaitumia vizuri
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza kwamba mpaka sasa kimejenga ofisi mpya za kisasa zinazofikia idadi ya 457, nchi nzima.

Jambo hili limefichuliwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, John Mnyika akiwa Mkoani Rukwa kwa ajili ya mpango wa kisasa wa kusajili wanachama unaoitwa Chadema Digital.

Mnyika amedai kwamba Chadema iliona ni vema kupeleka majengo kwenye mzizi wa wanachama nchi nzima badala ya kuweka jengo moja lenye vyumba 450 Makao Makuu, na kwamba mchakato wa Ujenzi wa Makao Makuu utaanza baada ya kusimika ofisi nchi nzima.
 
Kwa hiyo mabilioni yote Chadema mlikuwa mkipata ruzuku mlitumia kuchapa vitabu vya sera? Mbona wanachama walio.wengi hizo.copy za sera hawana?

Chadema kubalini tu kuwa kuna mchwa ndani ya Chama

ACT wazalendo chama kidogo sana .Ona jengo lao.La uhakika pesa kidogo wanayopata wanaitumia vizuri
Ujinga at the highest level.. Fahari ndio mama wa ujinga.. Jengo sasa ni kubwa kuliko chama [emoji23]
 
Acha wivu wa kike, kama chama chenu pamoja na maruzuku ya kutosha mmeshindwa waacheni wenzenu wanaojua thamani ya kuwa na majengo yao wajenge, wengine wamenga'ang'a kwenye vichocholo ilituone ka eti hawezi kujenga kwao kwani ni matumizi mabaya ya rasilimali vhake kilizonazo chama ni unafiki tuu kwa wanachama wao. Wanakula wachache kidogo wanachopata wengi wao wakiishia kula jua na kufukuzwa kuchama Chao
Chadema hawataki maendeleo ya vitu.
 
Hebu tupe mrejesho wa Yanga na simba, timu zenye miaka zaidi ya 70, je zina viwanja vyake kama Azam FC? Je washabiki wa timu hizo wamehamia kushabikia Azam kwakuwa ina kiwanja chake?
Wao hawapewi ruzuku na wanachama hawa changishwi ovyo na hata mishahara ya viongozi na wachezaji siyo jasho la wananchi.
 
Ni kweli Mbowe anaweza kuwa na madhaifu ila ndio ameifikisha Chadema hapo ilipo so kuanzia kumlaumu kwa ofisi wakati alikua muasisi enzi hizo anatumia magari binafsi kujenga chama naona kama tuna downplay sacrifice yake!! Hivi unakumbuka Yale ma Pick up ya M4C? zaidi ya 20 yalinunuliwa ila sijawahi ona akipongezwa humu ilihali yalisaidia sana tokea enzi zile za Operation Sangara.

Kingine Chadema inaamini katika ugatuzi, so nguvu kubwa iliwekwa kwenye ofisi za Kanda na wewe ni shahidi karibu Kanda zote Kuna ofisi nzuri na kubwa za Chadema so strategy ilikua wakimaliza ugatuzi warudi makao makuu.

So nikijibu hoja Yako, pesa hazikukosekana ila kipaumbele ilikua kuimarisha chama kwenye grassroots hasa level ya Kanda.

Kuhusu ufisadi sio kweli CAG ameshakagua mara ngapi sijaona wakimkamata afisa yeyote wa Chadema kwa wizi! In fact JPM alivokua na kisasi unadhani asingempa kesi ya uhujumu uchumi kwa kuiba pesa ya Chadema?

Mnyika kaahidi ofisi kubwa kujengwa so tumpe muda kama alivyosema na ata deliver

Mkuu ofisi ya kanda ya kaskazini iko wapi? Je imejengwa au kununuliwa na chama? Ni kweli Mbowe alisacrifice hilo sipingi, je hiyo ni sababu ya kubaki hapo kwenye uenyekiti daima?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza kwamba mpaka sasa kimejenga ofisi mpya za kisasa zinazofikia idadi ya 457, nchi nzima.

Jambo hili limefichuliwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, John Mnyika akiwa Mkoani Rukwa kwa ajili ya mpango wa kisasa wa kusajili wanachama unaoitwa Chadema Digital.

Mnyika amedai kwamba Chadema iliona ni vema kupeleka majengo kwenye mzizi wa wanachama nchi nzima badala ya kuweka jengo moja lenye vyumba 450 Makao Makuu, na kwamba mchakato wa Ujenzi wa Makao Makuu utaanza baada ya kusimika ofisi nchi nzima.
acheni mfano kanda ya pwani ofisi iko wapi?
 
Ijumaa, Oktoba 28, 2022
actpiic.jpg



Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kitazindua ofisi yake mpya ya Makao Makuu iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam.

Hafla hiyo ya uzinduzi itafanyika Oktoba 30, 2022 huku Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe ndiye atakayekuwa mgeni rasmi.

Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na chama hicho na kusainiwa na Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Janeth Rithe leo Ijumaa, Oktoba 28, 2022 wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi watahudhuria.
chaijaba limehamia ACT
 
Mkuu ofisi ya kanda ya kaskazini iko wapi? Je imejengwa au kununuliwa na chama? Ni kweli Mbowe alisacrifice hilo sipingi, je hiyo ni sababu ya kubaki hapo kwenye uenyekiti daima?
Alishasema anastaafu 2024, ataenda kwenye bodi ya wadhamini!! So unless aghairi ila aliahidi Hilo baada ya uchaguzi 2020 so ni utekelezaji tu umebaki.

2. Ku sacrifice haimaanishi asiondoke ila najaribu kusema tusimpime kwa kujenga ofisi ila tuangalie picha kubwa kuanzia kutafuta Hela za magari ya M4C, kujenga Chama Kila kita nchi hii, kusala bajeti ya Chadema ni msingi mfano kule Mbagala Kuna nyumba imenunuliwa na maofisa wa Chadema wameweka kambi pale kujenga chama kuelekea 2025 na makao makuu imetoa double cabin kuzunguka Kila siku Sasa vitu kama hivi haviwezi onekana huko nje ila ni pesa inatumika na ruzuku hakuna!! Sasa imagine enzi zile hatuna wanachama gharama kiasi gani ilitumika kwenye kampeni za Mbowe 2005??

So tusiwe wepesi wa kulalamika ila tuangalie picha kubwa kwamba kama Mbowe angekua mlafi wa Hela sidhani hata chama kingefika hapa kilipo angekua "ameshakimbilia" CCM zamani sana analamba asali kama Zitto au Lipumba kwani angepoteza Nini mkuu?
 
Mkuu ofisi ya kanda ya kaskazini iko wapi? Je imejengwa au kununuliwa na chama? Ni kweli Mbowe alisacrifice hilo sipingi, je hiyo ni sababu ya kubaki hapo kwenye uenyekiti daima?
Kaskazini ndio Ili ilichomwa kipindi Cha kampeni hapa ni baadhi ya ofisi za Kanda

19106063_1411981548880473_7935717280149074720_n.jpg

ElJqseHXYAEC0un.jpeg
 
Back
Top Bottom