ACT Wazalendo kuzindua makao makuu mapya

ACT Wazalendo kuzindua makao makuu mapya

Safi zito Soma fursa ushapata ofc yakuja kuzugia na kijana wako wa kigoma mwezako Abdul Nondo

Seema nn nawakubali san maisha Ni two way traffic acha tuzunge mbelee we all live at once
 
Alishasema anastaafu 2024, ataenda kwenye bodi ya wadhamini!! So unless aghairi ila aliahidi Hilo baada ya uchaguzi 2020 so ni utekelezaji tu umebaki.

2. Ku sacrifice haimaanishi asiondoke ila najaribu kusema tusimpime kwa kujenga ofisi ila tuangalie picha kubwa kuanzia kutafuta Hela za magari ya M4C, kujenga Chama Kila kita nchi hii, kusala bajeti ya Chadema ni msingi mfano kule Mbagala Kuna nyumba imenunuliwa na maofisa wa Chadema wameweka kambi pale kujenga chama kuelekea 2025 na makao makuu imetoa double cabin kuzunguka Kila siku Sasa vitu kama hivi haviwezi onekana huko nje ila ni pesa inatumika na ruzuku hakuna!! Sasa imagine enzi zile hatuna wanachama gharama kiasi gani ilitumika kwenye kampeni za Mbowe 2005??

So tusiwe wepesi wa kulalamika ila tuangalie picha kubwa kwamba kama Mbowe angekua mlafi wa Hela sidhani hata chama kingefika hapa kilipo angekua "ameshakimbilia" CCM zamani sana analamba asali kama Zitto au Lipumba kwani angepoteza Nini mkuu?
Ila ruzuku ya wabunge wale 19 mmekataa .nyinyi mngepokea tu na Kisha kwenda kupambna na ujenzi pesa Ni nyingi hzo mlizo kata za ruzuku
 
Back
Top Bottom