Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
Ndio nini hiki? Akihamia CCM si anapewa uwaziri kama kina Mkumbo tu. Otherwise mpinzani hahitaji kupendwa au kukubalika na serikali maana obviously ni mafisadi hawawezi mpenda anayewakosoa.Ukweli usiofichika Tundu Lissu ameshakataliwa na mfumo wa serikali
We ni mpuuzi tu Yani lisu agombee Urais ACTMsigwa
Takataka...................ignore pleaseUkweli usiofichika Tundu Lissu ameshakataliwa na mfumo wa serikali ata mfumo wa CHADEMA.
TUNDU Lissu ni mtu ambaye muda na dakika yeyote anasubiri kutupwa nje ya CHADEMA kama alivyo Msigwa
Kwakuwa bado anamtazamo wa kuutaka uraisi hivyo ACT-WAZALENDO ndyo kimbilio lake kwahyo ACT-WAZALENDO Lissu si msaada kwenu kisiasa.
chawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa katika ubora wako.Lisu hajui siasa ila anajua sheria sasa anatumia msuli wa sheria kwenye siasa ndo anajikuta anapoteana. Hata chadema wengi hawamuelewi sasa hivi ila basi tu unafiki ni kawaida kwenye siasa
Misukule ya Mzee Mbowe mtahangaika sana,Lissu shikilia hapo hapo hadi kieleweke ingawaje imekuchukua muda saana kugundua kuwa SACCOS inaendeshwa na wahuni tuUkweli usiofichika Tundu Lissu ameshakataliwa na mfumo wa serikali ata mfumo wa CHADEMA.
TUNDU Lissu ni mtu ambaye muda na dakika yeyote anasubiri kutupwa nje ya CHADEMA kama alivyo Msigwa
Kwakuwa bado anamtazamo wa kuutaka uraisi hivyo ACT-WAZALENDO ndyo kimbilio lake kwahyo ACT-WAZALENDO Lissu si msaada kwenu kisiasa.
Unamminia risasi mtu asiyejua siasa?Lisu hajui siasa ila anajua sheria sasa anatumia msuli wa sheria kwenye siasa ndo anajikuta anapoteana. Hata chadema wengi hawamuelewi sasa hivi ila basi tu unafiki ni kawaida kwenye siasa
Ukweli usiofichika Tundu Lissu ameshakataliwa na mfumo wa serikali ata mfumo wa CHADEMA.
TUNDU Lissu ni mtu ambaye muda na dakika yeyote anasubiri kutupwa nje ya CHADEMA kama alivyo Msigwa
Kwakuwa bado anamtazamo wa kuutaka uraisi hivyo ACT-WAZALENDO ndyo kimbilio lake kwahyo ACT-WAZALENDO Lissu si msaada kwenu kisiasa.
Kwa taarifa yako wananchi wengi wana imani na Lisu, na sio hao system ya majizi, ama ACT.Ukweli usiofichika Tundu Lissu ameshakataliwa na mfumo wa serikali ata mfumo wa CHADEMA.
TUNDU Lissu ni mtu ambaye muda na dakika yeyote anasubiri kutupwa nje ya CHADEMA kama alivyo Msigwa
Kwakuwa bado anamtazamo wa kuutaka uraisi hivyo ACT-WAZALENDO ndyo kimbilio lake kwahyo ACT-WAZALENDO Lissu si msaada kwenu kisiasa.
Hajui kituqKwa taarifa yako wananchi wengi wana imani na Lisu, na sio hao system ya majizi, ama ACT.