Pre GE2025 ACT-Wazalendo msifanye kosa la kumpa Tundu Lissu kugombea Urais 2025

Pre GE2025 ACT-Wazalendo msifanye kosa la kumpa Tundu Lissu kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukweli usiofichika ni kwamba Tundu Lissu ameshakataliwa na mfumo wa serikali hata mfumo wa CHADEMA.

Tundu Lissu ni mtu ambaye muda na dakika yoyote anasubiri kutupwa nje ya CHADEMA kama alivyo Msigwa.

Kwa kuwa bado anamtazamo wa kuutaka urais, hivyo ACT-WAZALENDO ndiyo kimbilio lake; kwa hiyo, ACT-WAZALENDO, Lissu si msaada kwenu kisiasa.
Kiala ukifika wakati wa uchaguzi ACT inakuwa LULU Kwa ccm? Chama hiki mfu kinategemea TISS, POLICE Na KWTZ ili kishinde uchaguzi.
Hakina cha kuwaambia watz kwani miaka 60 plus ya uhuru hakana maji ya uhakika, umeme na elimu ni duni kwa wananchi wake. Rushwa, kuuza mali za umma na wizi wa kura ndiyo mtaji wa chama hiki
Makada wake wamejaa propaganda za uongo na uzushi
 
Ukweli usiofichika ni kwamba Tundu Lissu ameshakataliwa na mfumo wa serikali hata mfumo wa CHADEMA.

Tundu Lissu ni mtu ambaye muda na dakika yoyote anasubiri kutupwa nje ya CHADEMA kama alivyo Msigwa.

Kwa kuwa bado anamtazamo wa kuutaka urais, hivyo ACT-WAZALENDO ndiyo kimbilio lake; kwa hiyo, ACT-WAZALENDO, Lissu si msaada kwenu kisiasa.
😂😂Kama Trump
 
Adui No 1 ndani ya chadema ni Mbowe huyu anatumika na kutumiwa na raia feki ...Mbowe ananunulika kirahisi sana ni kama kununua kahaba kimboka
 
Lisu hajui siasa ila anajua sheria sasa anatumia msuli wa sheria kwenye siasa ndo anajikuta anapoteana. Hata chadema wengi hawamuelewi sasa hivi ila basi tu unafiki ni kawaida kwenye siasa
Ulitakiwa ujue kwanini asilimia 60% ya marais duniani wamesomea sheria
 
Back
Top Bottom