ACT Wazalendo: Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

ACT Wazalendo: Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

Kifo cha Hayat Rais John Pombe Magufuli ndio kipewe kipaumbele. Kwani kuna utata na sintofahamu.

Hawa wanaharakati nao wachunguzwe. Yale aliyoyasema Mh. Dk Slaa kuhusu Red Brigade, nayo yafanyiwe uchunguzi wa kina.

Tanganyika ni yetu sote.
 
Kwa sasa nitabaki mchangiaji kwenye threads za sports na kula kimasiara.
Huku tukisubiri tar 20 tuwakere watu na uzi wa "Kwanini Mshahara wa January umechelewa?"
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Ukimaanisha?
Screenshot_20240627-221949.png
 
View attachment 3027737
Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa amejeruhiwa vibaya.

Kijana huyu ni mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam alitafutwa na ndugu zake bila mafanikio baada ya kutoonekana kwa siku 3 tangu Jumapili tarehe 23.

Watanzania wameanza kuingia tena na hofu kukithiri kwa matukio ya wananchi kupotea, kuteswa na kuawa kwa kasi siku za hivi karibu. Inasikitisha pia kuona Jeshi la Polisi kutochukua hatua za haraka kwa wanaohusika na matukio hayo.

Tunalaani kwa nguvu zote kuongezeka kwa matukio hayo bila hatua madhubuti kuchukuliwa. Wananchi wamechoshwa na kutowajibika kwa Jeshi la Polisi au kuhusishwa kwao katika matukio ya kuwaumiza, kuwatesa na kuwakandamiza kila uchao badala ya kutekeleza wajibu wa kuwalinda pamoja na mali zao.

ACT Wazando tumechukua hatua za kumrejesha Dar es Salaam kwa Ndege kijana Mwakabela ili aweze kupatiwa matibabu haraka na ya kibingwa.

Hata hivyo, tunataka hatua za haraka za uchuhguzi zifanyike ili kubaini watu waliohusika na utekaji wa Ndg. Edgar Mwakabela.

Ndg. Dahlia Majid,
Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani
27 Juni, 2024.
Ukweli utafutwe na uwekwe wazi
 
View attachment 3027737
Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa amejeruhiwa vibaya.

Kijana huyu ni mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam alitafutwa na ndugu zake bila mafanikio baada ya kutoonekana kwa siku 3 tangu Jumapili tarehe 23.

Watanzania wameanza kuingia tena na hofu kukithiri kwa matukio ya wananchi kupotea, kuteswa na kuawa kwa kasi siku za hivi karibu. Inasikitisha pia kuona Jeshi la Polisi kutochukua hatua za haraka kwa wanaohusika na matukio hayo.

Tunalaani kwa nguvu zote kuongezeka kwa matukio hayo bila hatua madhubuti kuchukuliwa. Wananchi wamechoshwa na kutowajibika kwa Jeshi la Polisi au kuhusishwa kwao katika matukio ya kuwaumiza, kuwatesa na kuwakandamiza kila uchao badala ya kutekeleza wajibu wa kuwalinda pamoja na mali zao.

ACT Wazando tumechukua hatua za kumrejesha Dar es Salaam kwa Ndege kijana Mwakabela ili aweze kupatiwa matibabu haraka na ya kibingwa.

Hata hivyo, tunataka hatua za haraka za uchuhguzi zifanyike ili kubaini watu waliohusika na utekaji wa Ndg. Edgar Mwakabela.

Ndg. Dahlia Majid,
Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani
27 Juni, 2024.
Hakuna mtu anaunga mkono huo ujinga wa Kimagufuli
 
Nimeona pdf ya polisi kumuwekea ulinzi mhanga wa tukio
Kuna Clip moja Mr Bean alimpiga jambazi risasi ya kifua jamaa likazimia na kuwahishwa hospital kwa ajili ya upasuaji wa kutoa risasi,

Wakati madaktari wamemzunguka mgonjwa theater kwa ajili ya operation mara jambazi anazinduka na kupata fahamu Ile kuangaza huku na huku kwenye jopo la madaktar waliomzunguka anamuona Mr Bean naye ni miongoni mwa madaktari watakaomfanyia operation mara jamaa akazimia na kupoteza fahamu kwa mara nyingine.
 
Back
Top Bottom